Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kujiandaa kuwa mwenyekiti wa cdm kunahitaji course gani? Huu uhuni wa ccm mnaubeba kila mahali hadi mnajisahau! Ni sifa zipi za maana ambazo Lisu anakosa hadi useme hakujiandaa, au anatakiwa awe na pesa za kuhonga wajumbe? Huu uhuni ndio juzi ccm walikuwa wanapita wakisema cdm haikujiandaa kushiriki uchaguzi wa serekali za mitaa, ila tulichokiona kwenye uchaguzi ule ni uhuni wa kitoto. Naona na ww umenasa kwenye upuuzi uleule.
Pambana na Chagadomo yako achana na Chama Kubwa CCM. Kila siku kulalamika tu halafu mnategemea Watz wawape nchi muongoze nyinyi nyumbu!! Hiyo itakuwa nchi ama danguro kama uchanguzi tu wa ndani ya Saccos yenu mnatukanana hivyo!!
 
Bado unafanya logical fallacy ya problem of induction uliyoiunganisha katika logical fallacy nyingine ya non sequitur.

This is a double decker logical fallacy.
Basi jadili peke yako mwenye uwelewa kwani kuna shida.
 
Si kila mtu anaweza kuwa kiongozi hukurupuki lazima ujiandae unaenda kufanya nini,

Lazima uongozwe na busara, hekima, heshima kwa watangulizi nk.
Kwani wafuasi wote wa cdm wanataka kuwa viongozi hadi useme si kila mtu? Hata hivyo anachotaka kwenda kufanya Lisu akiwa mwenyekiti ameshakisema. Na isitishe Lisu tayari ni kiongozi, sasa unaposema kuwa si kila mtu anaweza kuwa kiongozi unamaanisha nini? Au ndio hayo mambo ya kupagawa kwa kutetea mtu aliye nje ya wakati?
 
Pambana na Chagadomo yako achana na Chama Kubwa CCM. Kila siku kulalamika tu halafu mnategemea Watz wawape nchi muongoze nyinyi nyumbu!! Hiyo itakuwa nchi ama danguro kama uchanguzi tu wa ndani ya Saccos yenu mnatukanana hivyo!!
Kwani wananchi ndio wanaamua nani apewe nchi? Ingekuwa wananchi ndio wanaamua, ccm leo hii isingekuwa madarakani.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Ametenga 2b alizopewa na Abdul kwa ajili hiyo wajumbe wa mkutano mkuu watatajirika na Sultan safari hii. Ila wengi nimeongea nao wanasema hela watachukua lakini kura kwa Lissu, patamu hapo.
 
Namaanisha kumuondoa Mbowe kwa kutumia uchaguzi wa kidemokrasia CHADEMA, kwani wapi nimesema Mbowe asishiriki uchaguzi?
Basi tusubiri demokrasia iwapatie wanachama wao kiongozi
 
Kwani wananchi ndio wanaamua nani apewe nchi? Ingekuwa wananchi ndio wanaamua, ccm leo hii isingekuwa madarakani.
Kwahiyo Saccos ndio ingekuwa madarakani? Acha utani basi!!
 
Ametenga 2b alizopewa na Abdul kwa ajili hiyo wajumbe wa mkutano mkuu watatajirika na Sultan safari hii. Ila wengi nimeongea nao wanasema hela watachukua lakini kura kwa Lissu, patamu hapo.
Hear say, ukiambiwa ulete ushahidi unao
 
Hapa uchaguzi wa kweli uliopo ni mustakabali wa CHADEMA.
Wacha anayepita apite awe kiongozi. Kikifa ndio vizuri ili kizaliwe kizuri. Kama zama za chadema zimefikia mwisho hata ufanyeje kitakufa tu. Hata chama tawala kilishakufa sema kimekosa mbadala wa kukiondoa.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
UKIELEZA UMMA KWAMBA ANAPANGA MIPANGO YA KUIBA KURA UTAELEWEKA SANA, KURA ZOTE ZIMESHAZOLEWA NA LISSU, UMMA UNATAKA MABADILIKO, WAJUMBE WAPO KIMYA LAKINI WANATAKA MABADILIKO, CHADEMA HALISI YENYE UMOJA WA KITAIFA NA WATANZANIA WOTE ITAPATIKANA CHINI YA UENYEKITI WA LISSU PEKEE
 
Kwani wafuasi wote wa cdm wanataka kuwa viongozi hadi useme si kila mtu? Hata hivyo anachotaka kwenda kufanya Lisu akiwa mwenyekiti ameshakisema. Na isitishe Lisu tayari ni kiongozi, sasa unaposema kuwa si kila mtu anaweza kuwa kiongozi unamaanisha nini? Au ndio hayo mambo ya kupagawa kwa kutetea mtu aliye nje ya wakati?
Kigeugeu hana uhakika na nafasi ipi anataka, mwezi uliopita alikuwa mtia nia wa Mmkiti, mwezi huu anataka uwenyekiti hapohapo anataka kugombea urais, dah hii ni tamaa ya mzee fisi atakosa vyote.
 
Kigeugeu hana uhakika na nafasi ipi anataka, mwezi uliopita alikuwa mtia nia wa Mmkiti, mwezi huu anataka uwenyekiti hapohapo anataka kugombea urais, dah hii ni tamaa ya mzee fisi atakosa vyote.
Amevunja sheria yoyote? Mbona Mbowe alibadili gia angani akambwaga Dr. Slaa na kumpa shavu Lowassa?
 
Back
Top Bottom