Be my guest dearUkihitajika kutoa ushahidi unao?au stori za kusimuliwa kijiweni na wewe unaziandika andika humu bila kua na uhakika.
Utaingizwa mkenge na wanaharakati wakuache badae usimame peke yako ujute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be my guest dearUkihitajika kutoa ushahidi unao?au stori za kusimuliwa kijiweni na wewe unaziandika andika humu bila kua na uhakika.
Utaingizwa mkenge na wanaharakati wakuache badae usimame peke yako ujute
Hakuna mwenye tatizo na yeye kushi dwa kihalali, ila mabadiliko ya katiba na kiutawala ndani ya cdm hayakwepeki.Uchaguzi utakuwa wazi ili akishindwa asitafute kisingizio.
Hakuna chama kitashindwa kutawala nchi hii ambayo ccm wameweza. Yaani ccm imefanikisha mambo ya kawaida sana ambayo hakuna chama kitashindwa kuyafikia.Kwahiyo Saccos ndio ingekuwa madarakani? Acha utani basi!!
Amevunja sheria gani, ama amewaumiza kutaka nafasi ya boss wenu wakati malengo yenu binafsi hayajatimia, na sasa mnahofia mtakwama iwapo ataukosa uenyekiti? Demokrasia inamruhusu kugombea nafasi yoyote hata kama ww hupendi.Kigeugeu hana uhakika na nafasi ipi anataka, mwezi uliopita alikuwa mtia nia wa Mmkiti, mwezi huu anataka uwenyekiti hapohapo anataka kugombea urais, dah hii ni tamaa ya mzee fisi atakosa vyote.
Kwani wapi nimepinga anayepita apite?Wacha anayepita apite awe kiongozi. Kikifa ndio vizuri ili kizaliwe kizuri. Kama zama za chadema zimefikia mwisho hata ufanyeje kitakufa tu. Hata chama tawala kilishakufa sema kimekosa mbadala wa kukiondoa.
Kustaafu akitimiza miaka 68.Sera za Mbowe ni zipi Mkuu?
Kunguni wa Sultan wanahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa vile.Amevunja sheria gani, ama amewaumiza kutaka nafasi ya boss wenu wakati malengo yenu binafsi hayajatimia, na sasa mnahofia mtakwama iwapo ataukosa uenyekiti? Demokrasia inamruhusu kugombea nafasi yoyote hata kama ww hupendi.
Mabadiliko sawa lkn tusilazimishe fulani lazima awe Mkiti.Hakuna mwenye tatizo na yeye kushi dwa kihalali, ila mabadiliko ya katiba na kiutawala ndani ya cdm hayakwepeki.
Na tusimuone mtu mwingine nje ya Sultan ni msaliti akitaka kugombea. Tuacheni demokrasia ichukue mkondo wake.Mabadiliko sawa lkn tusilazimishe fulani lazima awe Mkiti.
Yaani nchi iendeshwe na wahuni wakina Lissu?Hakuna chama kitashindwa kutawala nchi hii ambayo ccm wameweza. Yaani ccm imefanikisha mambo ya kawaida sana ambayo hakuna chama kitashindwa kuyafikia.
Wahuni ni wale wawili walikaliana uchi wakakuleta duniani. Idiot !Yaani nchi iendeshwe na wahuni wakina Lissu?
Sawa hata Mbowe hajavunja katiba ya chama kuendelea kugombea.Amevunja sheria gani, ama amewaumiza kutaka nafasi ya boss wenu wakati malengo yenu binafsi hayajatimia, na sasa mnahofia mtakwama iwapo ataukosa uenyekiti? Demokrasia inamruhusu kugombea nafasi yoyote hata kama ww hupendi.
Umesahau, ni kwa helicopter lakini!Kustaafu akitimiza miaka 68.
Kwa sasa ana nguvu za kufanya mikutano hadi 8 kwa siku bila kula.
Huyu aliyeko mabadiliko yamemshinda.Mabadiliko sawa lkn tusilazimishe fulani lazima awe Mkiti.
Nchi ipi hiyo boss, hii ni US nini?Yaani nchi iendeshwe na wahuni wakina Lissu?
Sasa unaposema ana kigeugeu unamaanisha nini?Sawa hata Mbowe hajavunja katiba ya chama kuendelea kugombea.
Kwahiyo huyo mnayedhani atayaweza, hapana hizo jazba zake atatuingiza kwenye machafuko.Huyu aliyeko mabadiliko yamemshinda.
Jana alikuwa anautaka umakamu leo anataka uenyekiti kesho anataka urais yaani kila cheo anataka yeye tamaa.Sasa unaposema ana kigeugeu unamaanisha nini?