Wafanye kampeni kama utaratibu unavyotaka ila kwa mjumbe anaejielewa kampeni haitambadilisha uelekeo wake na ndio msingi wa hoja yangu. Labda wahusika waboronge sana au waje na miujiza tofauti na walivyojionyesha tangu mwanzo, na uwezekano huu ni mdogo. Lissu atakuwa Lissu na Mbowe atakuwa Mbowe.Kwahiyo hakuna haja ya wagombea kufanya kampeni, hii mbona mpya.
Kuna watu ni waongo kuliko hata yule baba wa uongo.Hapana,
Lissu kasema alizipata habari hizo kwa marehemu.
Kuna tofauti.
Lissu kawa challenge waliomhoji wa release video ya mahojiano yake. Kwa nini wanaificha?
Nani anayehemuka kama sio mpiga ramli.Si usubiri tu, muda utaongea, unahemka nini?
CHADEMA kiki ICU na daktari mkuu wa kukitibu ni Tundu Lissu.
Kimkatae, kimkubali, ukweli ndio huo.
Si umuulize Msigwa?Hivi Lissu akishinda Msigwa atarudi Chadema?
Kujiandaa kuwa mwenyekiti wa cdm kunahitaji course gani? Huu uhuni wa ccm mnaubeba kila mahali hadi mnajisahau! Ni sifa zipi za maana ambazo Lisu anakosa hadi useme hakujiandaa, au anatakiwa awe na pesa za kuhonga wajumbe? Huu uhuni ndio juzi ccm walikuwa wanapita wakisema cdm haikujiandaa kushiriki uchaguzi wa serekali za mitaa, ila tulichokiona kwenye uchaguzi ule ni uhuni wa kitoto. Naona na ww umenasa kwenye upuuzi uleule.Lissu hakujiandaa kuwa Mkiti, alijiandaa kuwa makamu alikurupuka baada ya kuhisi Wenje atachukua nafasi yake hana mtu wa kufanyanae kazi kama makamu endapo atashinda.
Kupigania haki bila kufuata utaratibu ni fujo ndio maana tuhuma zake zinaonekana ni uzushi hazina tangible facts za uhakika.
This logical fallacy is called ad hominem.Nani anayehemuka kama sio mpiga ramli.
The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Tangu lini Mbowe akatafuta kura?. Yule anahonga tu wajumbe wenye njaa. Ashukuru Abdul anampa pesa.
Hawataamini kuwa ni kosa kubwa kushindana na takwa la wakati.Watu wenye mahaba na Mboqe hawataki kukubali ukweli huu.
Mbowe akishinda uenyekiti watu wengi sana watakosa imani na CHADEMA.
Si kila mtu anaweza kuwa kiongozi hukurupuki lazima ujiandae unaenda kufanya nini,Kujiandaa kuwa mwenyekiti wa cdm kunahitaji course gani? Huu uhuni wa ccm mnaubeba kila mahali hadi mnajisahau! Ni sifa zipi za maana ambazo Lisu anakosa hadi useme hakujiandaa, au anatakiwa awe na pesa za kuhonga wajumbe? Huu uhuni ndio juzi ccm walikuwa wanapita wakisema cdm haikujiandaa kushiriki uchaguzi wa serekali za mitaa, ila tulichokiona kwenye uchaguzi ule ni uhuni wa kitoto. Naona na ww umenasa kwenye upuuzi uleule.
Kelele hizi mwisho January msije mkajificha.Hawataamini kuwa ni kosa kubwa kushindana na takwa la wakati.
Nyerere na uzoefu wake wote alijua umuhimu wa kuondoka kwenye madaraka wakati bado anapendwa na watu. Alivyoona rafiki yake Nikolai Ceausecu wa Romania ameuliwa na wananchi wake akaharakisha vyama vingi vije Tanzania haraka hata kabla wananchi wengi hawajadai.Hawataamini kuwa ni kosa kubwa kushindana na takwa la wakati.
Hapa ni nani hajadili hoja najibu kadri unavyokuja.This logical fallacy is called ad hominem.
Mimi najadili hoja, wewe unanijadili mimi.
Hiyo ndiyo tofauti yako wewe na mimi.
Heshima kwa watangulizi is overrated.Si kila mtu anaweza kuwa kiongozi hukurupuki lazima ujiandae unaenda kufanya nini,
Lazima uongozwe na busara, hekima, heshima kwa watangulizi nk.
Acha tuonekane kama mazombi lakini Lissu hanusi kiti atakuwa anakiona kwenye TV.Mtu anayemshabikia Mbowe kung'ang'ania madaraka mpaka afikishe miaka 68 kama Mtei, genuinely, namuona kama zombie.
Hata huelewi uchaguzi hapa si uenyekiti wa CHADEMA, uchaguzi hapa ni future ya CHADEMA.Acha tuonekane kama mazombi lakini Lissu hanusi kiti atakuwa anakiona kwenye TV.
Kosa la kupindua meza ndilo alilolifanya Zitto akashindwa.Heshima kwa watangulizi is overrated.
Kuna sehemu inatakiwa kupindua meza na kufanya tofauti na watangulizi ili kuleta mabadiliko.
Kwa sababu ukiheshimu sana watangulizi unaweza kuendelea kufuata njia zao zile zile, ukafanya makosa yale yale, usiweze kujiongeza.
This logical fallacy is called the problem of induction.
Bado unafanya logical fallacy ya problem of induction uliyoiunganisha katika logical fallacy nyingine ya non sequitur.Kosa la kupindua meza ndilo alilolifanya Zitto akashindwa.
Akizitaja nipigwe ban.Sera za Mbowe ni zipi Mkuu?
Akizitaja nipigwe ban.Sera za Mbowe ni zipi Mkuu?