ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Umeshafukizwa? Ndo maana unaweweseka.Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini
mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn
haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Hujisikii hata aibu kidogo??Tanzania inahitaji RAIS kama aliyepo sasa asietabirika kesho atafanya nini
mwenye anafanya vitu kwa maslahi ya nchi na sio kufata sifa sifa za raia wanasema nn
haya sasa Mwigulu huyooo sijui wale vidomo domo watasema nn tena kiruuu.
Ukiona hivo jua kiongozi wetu ana Hasira za haraka,ukimuudhi kidogo tuu anakupiga chini.Bandika bandua...
Hii ndio faida ya kujipendekeza na kuitetea serikali hata kwenye mambo ya ajabu. Kwenye awamu hii Wanaosaka teuzi fuateni nyayo za Mwigulu.
waziri ni kiungo kati ya serikali na bunge. mtendaji mkuu ni katibu mkuuMinisterial Appointments za kiafrika huwa nachoka sanaaa.
Professional wa UCHUMI, anapewa kuongoza Wizara ya SHERIA!!
Mtaalamu wa SHERIA anaongoza Wizara ya AFYA!!
Afrika itaendelea kuwa bara la Giza tu. Sijuwi tulilogwa na nani?!!!
Kuna mambo mengine mpaka 'common sense' yenyewe inashangaa!
-Kaveli-
Niumizwe na teuzi za Magufuli !Pole kwa kuumia
Wewe hiyo ni wizara inahitaji kiongozi wakati wa bunge la budget. Pia marehemu ameshazikwa!
Hamna sehemu kwenye katiba ya JMT inasema mtapangia rais amteue nani? Nyie pigeni porojo tu.
Wewe usiyerambaramba endelea kuwa mchangiaji maarufu JF!Kulambalamba miguu ya jiwe kunalipa
Acha wivu wa kike! Awamu hii mtakufa na stress wanasaccos na wabunge wenu wamekimbia corona sijui nani wakuwatetea.Wenye imani na Magu nawapa pole
Kama unataka mtu achaguliwe kuongoza kulingana na taaluma yake, kulikua hakuna haja ya watu kusoma Somo la uongozi. Ata DJ asinge stahili ata kuwa mfagiaji pale Unyumbuni.Ministerial Appointments za kiafrika huwa nachoka sanaaa.
Professional wa UCHUMI, anapewa kuongoza Wizara ya SHERIA!!
Mtaalamu wa SHERIA anaongoza Wizara ya AFYA!!
Afrika itaendelea kuwa bara la Giza tu. Sijuwi tulilogwa na nani?!!!
Kuna mambo mengine mpaka 'common sense' yenyewe inashangaa!
-Kaveli-
Pole sana, usiyempenda katimba mjengoni dakika za lala salama!hapo bungeni hakuna wana sheria?kweli jiwe sikio la kufa