myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Kuita magumashi uwe na ushahidi....Ni magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.
Na hiyo university aliyosoma masters sijui ina acreditation gani.
Ni magumashi 😆🤣. Wajanja hawa wapwani sisi washamba wa bara🤣🤣
Aliyeandaa profile za wabunge anatakiwa achunguzweMi nimeangalia hiyo cv yake kwenye bunge. Sasa comment yangu ina kasoro gani? Umeona wapi mtu kufanya masters bila first degree au equivalent qualification.
Hapo tunachoona ni diploma and then masters kitu sio cha kawaida.
Inaonesha ni diploma hata kule mwisho imeandikwa diploma walitakiwa kuandika degree kusema kwamba C.V inaonesha alikaaa miaka mitatu darasani haina uzito sana maana inawezekana katika ile miaka miwili ya diploma kuna mwaka mmoja alidisco ndo ikawa iyo mitatu alafu kwenye political experience naona kuna BASATA pale wakati BASATA ni baraza la sanaa alihusiana na siasa. Kama sio kafanya udanganyifu basi kuna makosa kwenye uandishi wa C.V yake na hii inaonesha wasomi wetu hawapo competence, just imagine makosa kama hayo yapo kwenye C.V ya mtu mwenye master hivi C.V ya mwenye diploma itakuajeNi advanced diploma hio maana inaonesha alikaa miaka mitatu darasani toka 2004-2007!
Hata ulaya napo kuna wajanja janja mzee baba.. wazungu wa ovyo wapoWe kwa utashi wako unaamini coventry university wamepigwa kumruhusu kusoma masters au sio 🤭
sasa mimi nsowajua wasanii nikajua yule ndo Babu Ayubu!!!!Yeah, yule ndio alisoma IFM pamoja na rado
MwanaFA alikuwa IT staff NBC ni kweliLabda hiyo diploma ni advance diploma which is equivalent to le Degree
Kuna mwamba alinipanga eti mchizi alikua anafanya kazi Bank alafu,
Hivi anayeandaa hizi profile nani? Nimeona BASATA na taasisi zingine kama Bunge zimewekwa kwenye category ya political party nimechoka
Bro humu tunadili na vitoto vya 2000 havijui lolote hawajui hata Kama kulikua na TMK na East Coast TeamMwanaFA alikuwa IT staff NBC ni kweli
Sio Nurah huyo ak baba styleshuenda kumbukumbu zangu hazipo sawa, n
ani yule alipataga ajali akawa anapoteza kumbukumbu?
Hakuna magumashi yoyote aliyofanya Mwanafalsafa kwenye elimu yake. Alisoma Advanced Diploma.Ni magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.
Na hiyo university aliyosoma masters sijui ina acreditation gani.
Ni magumashi 😆🤣. Wajanja hawa wapwani sisi washamba wa bara🤣🤣
Ni kweli alishafanya kazi benki.Labda hiyo diploma ni advance diploma which is equivalent to le Degree
Kuna mwamba alinipanga eti mchizi alikua anafanya kazi Bank alafu,
Hivi anayeandaa hizi profile nani? Nimeona BASATA na taasisi zingine kama Bunge zimewekwa kwenye category ya political party nimechoka
MwanaFA alikuwa IT staff NBC ni kweli
Bakwata, CWT, basata, nk zote hizo ni jumuiya za ccm kama ilivyo uvccmHapo kwenye political experience... Kwani basata ipo kisiasa?
kwakweli bunge limekuwa la kituko.Hakuna aijuaye kesho ya mtu
Wajanja wa short cut,chawa ,wasifuo ndio wanaonekana wanateuliwa Mana wanamfurahisha mteule. Sema mwenye uwezo wake hategemei kuwa chawa mwishowe anaiishia kuongozwa na ngwini.Huwa hatuchunguzi kwa umakini hawa wateule ila wengi wana makando makando ya history zao za kitaaluma na hata kiutendaji.
No Wonder wapo so incompetent katika kushika na kuzitendea haki nafasi zao za kiutendaji.
yawezekanaSio Nurah huyo ak baba styles