Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Kama huelewi kinachoendelea go educate yourself
 
Mfano uliotoa sio sahihi ni kosa kisheria mambo ya ulawiti, siku zote huwezi kushindana na serikali utaishia kupata matatizo
Ni kosa kumnyang'anya mtu ardhi yake. Kwa hiyo serikali ikija kukulawiti utakubali?
 
Kama mnataka kurudi enzi ya vroba na kutekana chagueni lile jambazi na liongo kuliko pinokyo...Kassim Majaliwa
 
Mwarabu ni wa mhimu sana ndo maana wakazi wa huko wanavunjwa miguu ili mwarabu aishi. Mnatusumbua sana na hawa waarabu wenu waliotuuza kama kondoo enzi hizo leo mnaumiza watanzania kwa ajili ya mwarabu. Serikali ilikuwa na mpango gani kwa ambao hawakuwa tayari kuhama?
 
Naona makampuni ya Utalii yatoa donations.....watu watakesha kuandika Proposal.....indirect opportunities
 
Wasted sperm
 
Siasa za hovyo kama hizi sio zakupuuzwa,
Hivi kama Loliondo kumechafuka,je wameshindwa kujihifadhi maeneo jirani ndani ya mipaka ya Tanzania ambapo kuko shwari?

Hivi inawezekanaje ukajiita mkimbizi kutoka Tanzania ilihali nchini kwako ni wilaya yako tu kati ya wilaya zote ndio inamachafuko?

Haya mnayoyafanya mnahalalisha kauli ya serikali wanayosema kwamba hii issue inakuzwa.

Wakati fulani unaweza fanya jambo ukifikiri unajenga kumbe unaharibu.
Nashauri tafuteni namma nzuri yakufikisha ujumbe kwani haya maigizo mnayoyafanya yanafanana na mbinu za vijana wa sekondari.
 
Mbele za huyu dada mzururaji akili huwa zinakutoka kabisa, hii comment ulivyoiandika ni kama vile hautawahi kuwa kwenye jeneza.😄
Kiuhalisia sa hivi lijamaa ni kama kopo hivi. Haliongei bali linaropoka tu hata bila kuangalia ubinadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…