uzuri chadema watachagua mwingine wa kureplace hiyo nafasi,ila roho yauma poleni wapenda vyama vyenu hiyo Kazi kama Kazi yako ukiona hapo hapana masilahi unatafuta masilahi zaid kwingine usihuzunike watapatina wengine wazuri endelea kupenda chama chako sasa ni furaha hiyo na wewe jitose huko nafasi zinapatikana wewe unanuna badala uchangamkie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Afisa Manunuzi ana Kazi gani zaidi ya Manunuzi.Uzuri wa hapo, hakuna UCHAGUZI!
Wawachukue hata wote hao wa viti maalumu.
Ninachoshangazwa, ni huyo POLEPOLE. Hana kazi nyingine ya kukieneza Chama, ni kushughurika na manunuzi tu?
Kama hujui kitu uliza.Usisahau kuwa kura na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa wa Chadema imepungua pia, nadhani wenye fursa ya kuongeza mbunge wa viti maalumu watakuwa CCM!
Hiyo iko vizuri sanaHiyo itakuwa faida kwa mtu mwingine, kwani nafasi yake bungeni inaenda kujazwa na wa chama hicho hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara!Bado raia wana imani na Mbowe, Mbowe&co anatumia wingi wa wajinga wa Ufipa kupiga hela za ruzuku...
Hapa wenye akili wamesha washtukizia wanaanza kukikimbia chama
Mkuu usikariri........Ofisi ya DED ni jengo zima la Halmashauri siyo chumba kimoja!
Fomulae mpya itawashangaza sana Ufipa!Hiyo iko vizuri sana
North West
Hivi huko cjadema kuna watu wanajiuza?Uzuri wa hapo, hakuna UCHAGUZI!
Wawachukue hata wote hao wa viti maalumu.
Ninachoshangazwa, ni huyo POLEPOLE. Hana kazi nyingine ya kukieneza Chama, ni kushughurika na manunuzi tu?
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara
Yah ccm na cdm wanafanya biasharaKwa hiyo ni biashara unakiri wanafanya!
Mbinu za kupata pesa muone Mbowe hapo Ufipa atakufundisha!Ovyo ..nilijua kuna press conference ya mbinu za kupata pesa na kufanikiwa maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawakilisha jimbo gani kwa maana alichaguliwa na watu wa jimbo gani? Kama hana jimbo analowakilisha basi anajiwakilisha mwenyewe na ndio maana anaondoka mwenyewe! Ataiimuza familia yake na sio wananchi!Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Pole pole ambapo Katibu mkuu wa uwt atakuwa na mkutano na waandishi wa habari pale lumumba. Nyepesi nyepesi zinadai mbunge huyo anatokea mkoa wa Singida. Habari hii imeripotiwa pia na kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds tv!
Acha kumdharirisha!Mke wa DC?!
Anawakilisha chama cha Chadema!Anawakilisha jimbo gani kwa maana alichaguliwa na watu wa jimbo gani? Kama hana jimbo analowakilisha basi anajiwakilisha mwenyewe na ndio maana anaondoka mwenyewe! Ataiimuza familia yake na sio wananchi!
Chadema inatumia Lifo!Huyo Polepole amesomea Ugavi na manunuzi?
Mbona kila siku anafanya inventory ya watu??