EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
mama anaupiga mwingiAndika "mama anaupiga mwingi".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama anaupiga mwingiAndika "mama anaupiga mwingi".
Utaweza kutaja nchi jirani zilizokimbilia Mombasa
Kwani ufanisi ni lazima nchi jirani wakatoe mizigo? shame on you. hujui kama kuna soko la ndani?
Hela ndogo sana kwa bandari hizo.Dollar million 500 Tanganyika hakuna hadi kwenda kumpigia magoti mwarabu?
Huyu mama tangu alipoanza kwenda kwa Oman kuonana na wajomba zaje, nilijua kitakachotokea ni kile kile cha mwinyi na Loliondo.
Kwamba ww umeelewa sn🤣🤣🤣. We fuata upepo tuu utajajikuta mwenyewe usipopaelewa😏[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hoi....
Mmepotoshwa na kupotosheka.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe dada sijui ni mjamzito ndiyo maana unahasira snOna mlivyo na mawazo finyu. Mnataka muache wateja wote kisa soko la ndani? mna mizigo mingapi nyie? Wenzenu Kenya wanatoa mizigo ya Rwanda na Uganda ambayo kimsingi ingekua inatokea Dar wewe upo hapa kusema soko la ndani. You know nothing endelea kuimba tunauza nchi.
Hatari snHajauza bali amewapa. Kinachouzwa si utaambiwa na bei? Waarabu wamepewa bila ya kulipa chochote.
Arudi kwenu Zanzibar hatumtakiSasa maza ako kuuza kashamba kake hapo Masasi inatuhusu nini sisi wengine?!!![emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna mbara anataka huu muungano fake labda wewe chizi peke akoNchi yako ya mfukoni mwako?!!
Usiniingize nami raia wa Tanzania bara....ninautaka huu Muungano....kalaghabaho[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wazo la chuki za kitoto.Kwa sababu bandari si swala la muungano, mwambieni mbarawa akauze bandari za kwao zanzibar.
Natamani uongeze nyama nyama ili kwa slow leaner kama mimi niweze kujua faida/hasara ya hii kitu DPWorldHiyo ndo itakua the second largest investment baada ila bwa la umeme la Ethiopia consumed
$700m. Wengi mtakuja kumuelewa mama wakati kumekucha analo fanya hamna Raisi anae weza kulipinga labda awe mjinga tu.
he project started a decade ago, has cost $5 billion and is now scheduled for completion in 2024. Ethiopia last year completed the controversial second phase of filling the reservoir despite strong opposition from Sudan and EgypAround 2.5B USD SIO 7
Hawajapewa wala hawajauziwa.Hajauza bali amewapa. Kinachouzwa si utaambiwa na bei? Waarabu wamepewa bila ya kulipa chochote.
Sikiliza hiki kipindi 👇🏾wamechambuwa vizuri sana 👇🏾Natamani uongeze nyama nyama ili kwa slow leaner kama mimi niweze kujua faida/hasara ya hii kitu DPWorld
Binafsi mpaka sasa sijaelewa ni nini hasa. Hivo naomba ufafanuzi kama hutojali
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app