Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una malizwa na kitu gani tusaidie,kwa nchi za afrika.Kwani uzembe uliopo serikalini unamalizwa kwa wananchi kujichukulia maamuzi binafsi?
Coz anajua yy pia ni kati ya watu wasiotimiza wajibu kwa wananchi. Atunze kauli yake ipo siku Makonda atakuwa juu yake na atagalagazwa kwenye tope vzr tu kwa kutotimiza wajibu!Mchengerwa amesema wananchi wakatazwe kujichukua sheria mkononi.
Ndio huyu aliyepata ushondi wa asilomia 99.99999999 katika serlikali mitaa?Waziri Mchengerwa amethibitisha kwamba yeye ni mwanasheria. Ameiletea sifa kubwa taaluma yake ya Sheria.
Baada ya Makonda kuwapomgeza wananchi waliokuwa wanawadhalilisha viongozi wao, Mchengerwa amesema wananchi wakatazwe kujichukua sheria mkononi.
Siku wadudu wakiamua kuingia mtaani kuwapeleka kwenye matope hata huyo bashite hata ponaArusha Imeharibika ni jambo la muda tu.....
Roho ya kimasikini ikatae.Huwezi kuchafukwa nyongo bila sababu ilo ni tatizo la akili.Nikiskia Mchengerwa nachafuka Nyongo.
Sijui kwanini ?
Makonda kaweka wazi..hao wamerudisha zaidi ya bilioni 20 hazina.Japo hii ni sanaa ndani ya jumba la sanaa lakini nakubaliana na Mchengerwa sababu wakati mwingine unakuta kosa sio la diwani maana budget inakadiliwa kulingana na mahitaji aliyowasilisha kwenye baraza la madiwani halafu pesa inakuja haijajumuisha mahitaji ambayo diwani alipendekeza kwenye jimbo lake so wakati mwingine tunaweza kutowatendea haki unless tupate uhakika kwamba kero hizo ziliwasilishwa na wananchi na diwani husika hakuziwasilisha zinakopaswa kupelekwa.
Una akili ndogo Sana ambayo huwezi mzidi ata Tandu.Roho ya kimasikini ikatae.Huwezi kuchafukwa nyongo bila sababu ilo ni tatizo la akili.
Subutu!!!Kama anauwezo Bashite Amjibu Mkwe Kifua kipana
Yule ndio PM kivuli inasemekanaSubutu!!!
Hajipendi?