Mchengerwa: Maelekezo ya Makonda kuhusu Wananchi kumtembeza Diwani kwenye matope sio maelekezo ya Serikali

Tatizo nchi imekosa watu wenye uzalendo, watu wanapenda maslahi Yao Wacha wanyooshwe si waliahidi wakati wa kuomba kura?
Nchi zilizoendelea viongizi walihojiwa na wananchi.
 
Mwanasheria asiyejua maana ya uchaguzi hii nchi ni ya ajabu na ndio maana tunashindwa kesi za mikataba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…