Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Na ndio iko hvyo zari yeyey keshaoa wema nae yuko njian muda wowote huenda akamuoa whozu Anti keshaoa kusaOa kitu kisichozIdi miaka 23.
Hao hakina Wema, Zari, Kajala, Shilole nk wanatakiwa waoe na sio kuolewa!
Endelea kuparamia ma single mother y miaka ya 70s, 80s na 90s hizo ngoti tuachie sisi.Mwamba kazingua hataree
Bado haijashuka thamani na ndio maana mpaka kesho mwanaume akioa anafanya vetting, wewe unazani vetting ni kwa ajili ya nini?
Watu watamshangaa sababu ya upekee wake,ila kushangaa kwao hakuondoi thamani yake. Hamna mwanaume anayependa kuoa mwanamke anaye gongwa gongwa hovyo au mwenye high body count kubwa,hata kama yy ni playboy.
Maneno ya kazi yameniathiri πππWanaingia kwenye industry π
Nchi zilizoendelea hawatumii mfumo wetu wa elimu katika kuzalisha rasilimali watuBadala ya kujadili maendeleo naona baadhi yenu mnajadili mambo binafsi ya mtu!
Ndio maana hatutaweza kupata maendeleo kama za nchi zilizoendelea.
Wee bwana mbona huku nyuma ilikuwa inawezekana labda nyie wasomi mnieleweshe y now haiwezekani....wee sie boda boda tunavila vibinti vya 15/16 na vinakatikia kibamia mpaka mwenyewe unaomba poh.
Bwana wewe ukishajua kusex tayari una akili tosha kabisa. Kwani wee unaadhani ugumu wa maisha upo wapi? Sii tamaa zetu za kingese za kutaka nyumba vyumba vitano sijua iphone mara sijui kwenda dubai.
Yaani ndege aweze kulea watoto wake unataka kuniambia a 15/16 old has a brain thts inferior to a birdsπ²π²π²
Wanasema hivi "vile vibinti ulivyokuwa unavikimbiza miaka kumi iliopita vikavae pichu, now unavikimbiza vikivukie."Ha ha hapo penye long time
Ila inawezekana Mzee.
huwa inatokea sana mbona,,,,,, unakuta kuna katoto umekaacha Miaka kadhaa pengine unakaona kama kadogo Kako.....ila kenyewe kanakukubali hakasikii hili Wala Lile.....
mwanzoni unaweza chukulia poa tu ila muda unavyokwenda unaweza jikuta "hakuna mkate mgumu" from no weaaaa mnajikuta status imebadilka na maisha yanaendelea ....
Upo wap bint M..........aaaaah hakika nimekukumbuka sana .........tuliamini siku Moja ningekua kama sadio mane na wewe uwe kama mchumba wa sadio ila haikuwa hivyo.......muda uliamua yote ........ Ila popote ulipo lolote likupate........nimeshaoa kwa sasa mwingine Pambana na Hali Yako.
πππ kwamba wadau waje na hoja kuwa Hata Mudy boy alioa katoto ka miaka 8 au ? π€£π€£Kuna umuhimu gani kuandika binti wa miaka 18!? Kuna kitu kinatafutwa hapa.
Labda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.Mkuu naelewa, ila hizi sio zama za wazee wetu walioishi kijiji kimoja hadi kutta tabia ya mtu. Si ajabu wewe unakutana na mtu Dar kumbe ni kahaba mstaafu wa Arusha na unaoa fresh tu.
Sijui nisemeje ila naelewa point yako ila uhalisia wa maisha ya sasa ni tofauti kiasi na tunapotoka
πππ true mkuuLabda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.
Ndoa kwa mwanaume ni kitu very sensitive anaweza akarukaruka,akagonga hovyo malaya,ila inapofika kwenye selection ya ndoa huwaga tupo makini sana,kwani ukibugi utakuwa unashinda bar mpaka saa mpaka saa nne usiku,kazini unadamka saa kumi na mbili kamili tena kwa wakristo ndio kabisaa maana huku chance moja.
Wajinga hawakosekani.πππ kwamba wadau waje na hoja kuwa Hata Mudy boy alioa katoto ka miaka 8 au ? π€£π€£
VETTING.Labda kama humjui kabisa na haja kuonesha rangi yake halisi, ila wajanja huwaga wanajua na wakijua wanakaa pembeni na hamna mjanja anaye oa bila kufanya vetting hayupo.
Ndoa kwa mwanaume ni kitu very sensitive anaweza akarukaruka,akagonga hovyo malaya,ila inapofika kwenye selection ya ndoa huwaga tupo makini sana,kwani ukibugi utakuwa unashinda bar mpaka saa saa nne usiku,kazini unadamka saa kumi na mbili kamili asubuhi tena kwa wakristo ndio kabisaa maana huku chance moja.
Ndio wapo mabikra wanakengeuka ila probability ya bikra kukengeuka ni ndogo approximately equal to zero,ila mwenye high body count probability ya kukengeuka ni kubwa, so watu wana Calculate risk ya kuishi nayo (wanachagua msalaba mwepesi wa kuubeba).πππ true mkuu
Japo kuna waliooa mabikra au waliotafutiwa mabinti waliotulia kutoka vijijini au familia zilizotulia lakini mwisho wa siku nao wanateseka.
Hakuna aliye fundi au mjanja zaidi ya kumuomba Mungu pia
"siku hizi kote mitandaoni wanaoongoza kulalamika kuhusu mahusiano ni wanaume, " (Hiki itakuwa uliandikiwa nini...)Sasa mbona kama ulichoandika kipo nje ya hoja mambo ya kulilia sikukuu na kulalamika kuhusu mapenzi vinahusiana nini, labda nikuulize wanaoongoza kukataa ndoa sasa hivi ni kina nani na kwanini, na je sababu na lengo la kukataa hizo ndoa ni nini
Sio kosa lako brain yako inaonekana ipo damage na polluted na hizi harakati zenu, sasa kuhusu kulalamika ulikataa nini na sasa unakubali nini wakati uliandika ww mwenyewe.Hizo kelele za wanawake mara nyingi ukiangalia ni kuhusu usawa na mgawanyo wa majukumu na si kitu kingine, lakini kelele za wanaume ni kuhusu kila kitu kinachohusiana na mahusiano na ndoa kwa ujumla hasa kwenye suala la wanawake kujitunza, kiufupi wanaume siku hizi ndio wanaoongoza kwa kulalamika
Wapo wanaume wengi sana wanaokataa ndoa tena siyo kwa maneno tu bali hata kwa vitendo, sasa kama mnazihitaji hizo ndoa na mnahitaji kupata wanawake sahihi kwa ajili ya kuoa, kwanini msianze ninyi wenyewe kuchukua hatua ya kujitunza na kuacha kutongoza wanawake ambao hamna malengo ya kuwaoa
Ni kwa misingi ipi unaona ndoa ni msalaba kwa mwanaume tu na si kwa mwanamke pia hebu nijibu hapo, aliyekuambia mimi nahitaji ndoa ni nani siku hizi wanawake desperation ya ndoa inaisha taratibu kadiri miaka inavyozidi kuenda, wanawake wengi wanaona heri kukaa bila ndoa au kuwa single mothers kuliko kuwa na wanaume ambao ni too demanding na tena ni mizigo