Yaani nyie bila dola hamuwezi kisavaivu kwa wiki tatu.Sasa Msigwa akiongea hovyo, tunamrudisha mahakamani, achunge ulimi wake, si anaringa tumejaribu kumsaidia hataki, sasa akienda mahakamani tena hakuna msaada tena hata akiita Magufuliiiiiii njooooooo baba njooooo Mh. Rais njoooooooo hakuna tena kumsaidia.. Shauri yake π π π
waliomshauri mkulu kutumia hii plan.alafu mwisho wa siku plan imeferi hakika watazitapika fedha za mkulu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Rais ang'ang'anie kumlipia mtu ambaye serikali yake imemfunga ?!Nlihoji hili swali toka mapema kabisa, nikasema hii hela iliyomtoa Msigwa ndio hiyo aliyochanga rais lakn nyumbu wabishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unawaza matatizo kwa Msigwa tu?Huyo JPM mwenyewe hawezi kupata shida?Halafu msaada gani wa masharti namna hiyo?Ingetosha tu kulipa na kutoa taarifa kwa wahusika,ila unalipa unaita vyombo vya habari,unamtangaza kuwa umemlipia,unaenda gerezani na makamera kumpokea pamoja na makada wa CCM !Sasa huo ni msaada au unataka umtumie ndugu yako kwa malengo yako binafsi?Hata mimi ningekuchenga!!!
Kama wangefanya hivyo,ndugu wenyewe kwa utashi wao wangeweza kutoa shukrani kwa JPM kupitia vyombo vya habari,na hapo ingekuwa na impact kubwa kuliko kilichofanyika!Tatizo kitengo cha propaganda huko lumumba kina vilaza,ona sasa wamemuaibisha Rais!Ila hapo kwenye vyombo vya habari ni kweli, yaani angemsaidia kimya kimyaaa, hapo kweli, ujue mm nakubali ukweli wa wazi, labda hilo ni kosa kidogo limefanyika, angemsaidia kimya kimyaa, ingekua na nguvu zaidi sbb ya undugu. Got you.
Kwa kuangalia Yule anasema ni kama Msigwa alikuwa analazimishwa kuongea. Isiwe alikuwa kategeshewa mtutu paleKiufupi ni kwamba, mtoto wa JPM ameoa mtoto wa dada yake Msigwa. Inaonekana ndugu wa Msigwa wameenda kuomba msaada kwa JPM wakiwa na kianzio cha 2M.
Sasa hawa ndugu, kwanini hawakuipeleka ofisi za CDM hiyo 2M ili iunganishwe na michango mingine ya wananchi kumtoa ndugu yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sterling siyo Polepole,mnamwonea.Luna mtu mwenye magari ya ST ndiyo wa kulaumiwa.Siasa za kipumbavu sana anazofanya pole pole.
Hakutakuwa na mswalie MtumeSafi sana!
Mjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washukaHakutakuwa na mswalie Mtume
πMjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washuka
unawatia aibu wazazi wako kwa malipo ya bei gani ?Mjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washuka
Inawezekana kabisa. Kila la Kheri msigwa, karibu CCMMjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washuka