Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Sasa Msigwa akiongea hovyo, tunamrudisha mahakamani, achunge ulimi wake, si anaringa tumejaribu kumsaidia hataki, sasa akienda mahakamani tena hakuna msaada tena hata akiita Magufuliiiiiii njooooooo baba njooooo Mh. Rais njoooooooo hakuna tena kumsaidia.. Shauri yake 😅😅😅
Yaani nyie bila dola hamuwezi kisavaivu kwa wiki tatu.
Mnajivunia dola Kama alivyokua akijivunia Omar Al Bashir.leo dola hiyo iko kinyume nae.
Unaweza kuona haiwezekani hata Bashir aliona hivyohivyo.
 
waliomshauri mkulu kutumia hii plan.alafu mwisho wa siku plan imeferi hakika watazitapika fedha za mkulu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂😂,watalazimika kuzitolea sehemu yoyote yenye uwazi!!Teh teh teh!
Wamemuingiza JPM cha kike,poor propaganda plan imebackfire big time!
 
Kwanini unawaza matatizo kwa Msigwa tu?Huyo JPM mwenyewe hawezi kupata shida?Halafu msaada gani wa masharti namna hiyo?Ingetosha tu kulipa na kutoa taarifa kwa wahusika,ila unalipa unaita vyombo vya habari,unamtangaza kuwa umemlipia,unaenda gerezani na makamera kumpokea pamoja na makada wa CCM !Sasa huo ni msaada au unataka umtumie ndugu yako kwa malengo yako binafsi?Hata mimi ningekuchenga!!!

Ila hapo kwenye vyombo vya habari ni kweli, yaani angemsaidia kimya kimyaaa, hapo kweli, ujue mm nakubali ukweli wa wazi, labda hilo ni kosa kidogo limefanyika, angemsaidia kimya kimyaa, ingekua na nguvu zaidi sbb ya undugu. Got you.
 
Ila hapo kwenye vyombo vya habari ni kweli, yaani angemsaidia kimya kimyaaa, hapo kweli, ujue mm nakubali ukweli wa wazi, labda hilo ni kosa kidogo limefanyika, angemsaidia kimya kimyaa, ingekua na nguvu zaidi sbb ya undugu. Got you.
Kama wangefanya hivyo,ndugu wenyewe kwa utashi wao wangeweza kutoa shukrani kwa JPM kupitia vyombo vya habari,na hapo ingekuwa na impact kubwa kuliko kilichofanyika!Tatizo kitengo cha propaganda huko lumumba kina vilaza,ona sasa wamemuaibisha Rais!
 
Kiufupi ni kwamba, mtoto wa JPM ameoa mtoto wa dada yake Msigwa. Inaonekana ndugu wa Msigwa wameenda kuomba msaada kwa JPM wakiwa na kianzio cha 2M.
Sasa hawa ndugu, kwanini hawakuipeleka ofisi za CDM hiyo 2M ili iunganishwe na michango mingine ya wananchi kumtoa ndugu yao?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuangalia Yule anasema ni kama Msigwa alikuwa analazimishwa kuongea. Isiwe alikuwa kategeshewa mtutu pale
 
Mpenda ligi anavopenda bifu kuliko maendeleo kama atokata rufaa sijui,
 
Tunaomba Michango Michango Michango Endeleeni kuwa sehemu ya watu ambao mnaonyes ( 661 X 640 ).jpg

Wale wanaolazimisha undugu kukiona cha moto , kwa kadiri ninavyomfahamu mtu huyu ambaye hajawahi kumung'unya maneno naamini kesho kuna watu watakimbia kwa aibu.
 
Back
Top Bottom