Naona unajishika mwenyewe matako yako kisha unajiweka mikono yako puani kuangalia kama inanuka.Mchango wa mh Rais umesaidia sana,
Chadema iliomba msaada wa michango Kwa wananchi wote Na Rais JPM kaitikia ombi lkn pia familia ya mchungaji msigwa imeomba msaada kutoka Kwa Rais Na Rais kakubali ombi, tatizo linatoka wapi?
Hongera sana Kwa Rais
Endelea kujitekenya kisha kucheka mwenyewe.Msigwa nae ana deko sana [emoji28]
Anaringa sbb anajua Mh. Rais ni ndugu yake, basi anafanya atakalo deko tupu. Mh. Rais wetu ana roho nzuri sana ya kibinadamu, ingekuwa mm hiiiiiiiii silipi wala simletei gari tena namuacha jela akae kae nikiona hakuna wa kumtoa ndio natoa mchango..[emoji28][emoji28]
Huamini? Nenda millard Ayo mkuu!
Siendelei kujibizana na wewe, samahaniSasa kwanini walienda kuomba msaada?
Kwa hiyo hizo milion mbili Rais alishindwa kumalizia?!
Na kama hawakumalizia huyo Msigwa angetokaje?
CCM mnatia huruma aisee!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwanamke ni bora tu ukae kimya aiseeSasa Msigwa akiongea hovyo, tunamrudisha mahakamani, achunge ulimi wake, si anaringa tumejaribu kumsaidia hataki, sasa akienda mahakamani tena hakuna msaada tena hata akiita Magufuliiiiiii njooooooo baba njooooo Mh. Rais njoooooooo hakuna tena kumsaidia.. Shauri yake [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani Gerson Msigwa (Mkurgenzi mwasilliano Ikulu) alifungwa?Hongera mh Rais JPM Kwa kumlipia faini msigwa
Hivi Polepole ni Afisa Magereza? Mbona yuko busy sana huko Segerea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Moja ya wanawake Vila/za JfKumbe haupo hii dunia..sifatilii tena siasa ila you tube ipo! Kamuone msigwa anaongea na ndg wa mh!nimeiona huko sijachek..ndg wamechanga 2m !jamaa akamalizia 38
Wewe ni Moja ya wanawake Vila/za Jf
[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
Sio kwamba Rais mwemyewe ameamua kumlipia msigwa?Dah taasisi ya ikulu imepata washahauri wapu.mbafu mpaka wanamuingiza rais kwenye ujinga huu.
Sio kuchekesha tu mpaka inaleta rahaa ccm kuangukia pua ni raha sanaaa kwetu walala hoiAise nimecheka sana
Najiuliza ukiangalia risiti Chadema walilipa mapema sasa toka lini Control Number moja ikafanya malipo Mara mbili?