Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazitoe gerezani zifanye maboreshoHizo labda wakanywee ulanzi, ila kwenye akaunti Bank hazijaiingia. Control number ni moja tu, ambayo tayari Chadema walishailipia
He he! Usiusemee moyo wa mtu mwengine ndugu binadamu hatueleweki shauri yako.. kwani hata wewe kwenye maisha yako umejirudi mara ngapi..?Utasubiri sana [emoji23]
Jr[emoji769]
Mkuu haitakiwi tuamini kwa KUSIKIA tunatakiwa tuamini kwa kuona uthibitisho wa pay slipHuamini? Nenda millard Ayo mkuu!
Hivi wapo wa hivo
Wapi nimesema Wewe umefungua uzi ?We vipi?? Nan kafungua uzi? Mie nimeona you tube nikapita km sioni..kwani kuwa kilaza ndo nakufa! Nitokee mie hapa[emoji57][emoji57][emoji57]
Hii habari imeishachuja! Rais ALIOMBWA NA NDUGU WA MSIGWA awasaidie mchango wa kumlipia ndugu yao kutoka jera! Rais alikuwa anatekeleza ombi la hao wazee hivyo mambo ya alikuwa kaishalipiwa hama la!! hayamuhusu Rais!
Sawa mzee Mshana JrNuru hung'aa kizani... Lakini kiza huongeza giza kizani
Jr[emoji769]
Tenda wema Nenda zako!Hahaha sinema limebuma vibaya. Asante Msigwa kwa kuwaabisha mashetani mchana kweupe.
Yaani waandishi wa havmbari wa Tz sijui mna karirishwa au?? Kama Chadema ili lipa control namba hiyo huwezi kuitumia twna. Automatically huwa ina kufa. Acheni kutufanya. Mazuzu waulizeni Ccm wametumia control namba za kulipia toka wapi? Na release order nani kapewa??
Je kwa kumlipia Msigwa kama ni kweli wamekiri hukumu na mashtaka yalikuwa ya kugushi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimesema Wewe umefungua uzi ?
.
.
Nimesema napenda kuona TAIFA, mpaka hapo nazungumza General kwa Wote kwani Wewe ndio Taifa ?
.
.Channel Hizo uchwara huwaga wanaandika habari Sizo kupata Subscribers
Hapana Haufi, Sitoki [emoji41][emoji41]