Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Huyo mcheza porn sijui ataenda kuongea nini, maan akijifanya kujua kutukana sana akumbuke yeye hadi utupu wake uko mitandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Z pattern ndio washindi.1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
Equally mshindani wake rekodi yake ya mahusiano sio ya kujivunia Sana, nadhani wote watakua smart kuweka hiyo issue pembeni na kujadili masuala yanayowagusa wapiga Kura zaidi.Huyo mcheza porn sijui ataenda kuongea nini, maan akijifanya kujua kutukana sana akumbuke yeye hadi utupu wake uko mitandaoni
naona umewapa away tu, mkeka wa hivi ni mgumu kula changanya umpe hata mmoja wa CCM
Nilikuwa Mbeya uchaguzi wa mwaka 2010, na Sasa Niko Mbeya. Najua kinachoendelea kwa ground.huwajui watu wa mbeya..utata wao..
Wao wanaamini kwamba watabebwa na wavuta bange[emoji736] Hawa wataponzwa na vitabia vyao flani, wanachotakiwa kufanya ni kufanya kampeni kiaina kama wanaaga.
Wanashinda wa sisiemu hapo.1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
Ndivyo itakavyokuwa na huu ndio ukweli CCM wakibadilisha matokeo ya sehemu hizi hasa mbeya na Arusha damu inamwagika kwa Mara ya kwanza hapa nchini na Jiwe kaushaagiza wakurugenzi wa baadhi ya majimbo wasiwatangaze wapinzani kwa hiyo damu inaenda kumwagika mwaka huu kwa sababu ya mhutu.1. Nabetia upande wa John Henche
2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )
3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)
4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
Ukisema hapa Mbeya watu wa Mbeya wanampenda sana sugu bila kutaja kawafanyia nn watu wa MbeyaKwa hapo Mbeya kata tu, Wananchi wa mbeya kwa jinsi wanavyompenda sugu acha tu, Watu walipewa t shirts, kofia hadi pikipiki na tulia jackson ila kwenye ishu ya kupiga kura ni Sugu tu,,,,
PATAMU HAPO, TUKUTANE OKTOBA 28-20201: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
Mbowe hana mvuto tenaMbona Hai umeisahau, pamoja na vitimbi vyote vya MafisiEM?
[emoji28]
[emoji109] [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji95]
Kinachomuuma Gwajima alishamnafikia hadi MAGUFULI 2015Kinachouma zaidi Gwajima ana madudu yote ya akina Mdee na chadema nzima!
Naona wqtu wanaongelea video, Gwajima hata kwenye siasa chafu anawaweza kuwashinda
gwajima anasepa na kijiji just wait and seeHuyo Gwaji atakalishwa mbona.
Sugu atapata ushindi saa nne mapema kabisa.