Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
"Kinywani mwake ndiko tatizo lilipoanzia"
 
Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.[emoji3064][emoji848]
...Mshana, Huyu ni Musiba ?? Ameyajuaje haya ??...[emoji848][emoji848]
 
Kama Musiba atashindwa kutunza hao wake zake wawili.
Mm natangaza rasmi kuwachukua na kuwatunza kwa chochote watakacho.
Acha sheria ichukue mkondo wake.

Membe funga macho na masikio.

Heshima iwepo wajameni.
 
Wakati anaropoka hakujua kama ana familia
Hahahha.. Kuna watu hufanya makosa mabaya just bcoz kuna uchochoro wa msamaha au familia sijui wake zangu sijui mtoto gani. Mimi ukinikosea ukakimbilia kuomba msamaha nitakusamehe ila matokeo lazma uyapate.

Huyu naskia mpk sekunde hii hajaomba hata msamaha. Ingawa angeomba isingekuwa rahsi kusamehewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.

Kuna huruma nyingi sana za kufanya huku duniani, bora hata uchukue hela kwa msiba kama una huruma ukatumie hiyo huruma kwa Yatima.
 
Maamuzi ya Membe yaheshimiwe ,,kama matusi ya Musiba!!!
 
Hivi Kuna watu wanachukulia haya mambo serious. Hayo ma CCM yanafahamiana ni drama tu, na Hakuna chochote serious kitatokea.

Hivi lini mtaachwa kudanganywa na hawa watu wa "sisitimu".
 
Ndio mjue sasa wanaume wa kusini hatuna utani kazini.Acheni tumnyooshe huyo kima wa kikurya.
 
Back
Top Bottom