Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742