Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Nyie maccm ni wachawi Sana. Manina. Majengo yote ya ccm na viwanja vyote vilijengwa kwa michango na kodi za watz wote kwa utapeli wenu wakati wa chame kimoja.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umesema kweli kbs. Jiwe!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
😀Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Huko tutafika. Na wewe waambie serikali waache kuwanunua wapinzani. Hatuwezi kuweka mwenyekiti mwenye njaa pale. Tunamuandaa John Heche aje aongoze chama
 
[emoji3]Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Mnahangaika na chadema tu, je tlp?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 

Uko sahihi kabisa, mimi ni mmoja kati ya watu wasioamini katika maofisi makubwa. Dunia ya sasa taarifa zote zinapatikana kidigitali, na sio kushinda maofisini. Ccm wana maofisi kila mahali, matokeo yake ofisi hizo zimegeuka vijiwe vya majobless, washirikina, kupiga majungu, na kupanga siasa za hila, fitina na wizi wa kura.

Kwa sasa ni vyema Cdm wakawa na ofisi za wastani, zenye watendaji wachache watakaofanya kazi za uratibu kwa ufanisi, ikibidi na sehemu moja ya mikutano yao ya kitaifa. Kwa mikoani ambako bado ardhi ni bei nafuu, wanunue ardhi kama heka 2@ofisi, ili wapate sehemu ya kufanyia mikutano yao ya hadhara. Maana sasa hivi wanafanyiwa hujuma kila wakitaka kufanya mkutano wa hadhara wananyimwa ruhusa ya maeneo ya kufanyia mikutano.

Kwa ulimwengu wa sasa wa Digitali, unaweza kuwafanya Cdm wakatumia njia hiyo ya kidigitali kuwapa taarifa wanachama na wafuasi wake. Kusajili TV ya mtandaoni ni 50,000 tu kwa sasa. Hivyo ni vitu viko ndani ya uwezo wao. Sishauri maofisi makubwa yatakayojaza majobless ofisini, labda kama majengo hayo yatakuwa na ofisi za kupangisha ili kukitengenezea chama mapato.
 
Umejiuliza hizo pesa za kujengea zinatoka wapi, kama hujui zinatoka wapi huna uhalali wa kuhoji.
 
Wewe mwana ccm mambo ya chadema yana kuhusu nini? Ya nyumbani kwako hujayamaliza unarukia ya wenzako?
 
..hizo fedha zingeelekezwa kuimarisha chama mpaka ngazi ya chini.

..bado sijaona haja ya Chadema kuwa na makao makuu ya kifahari na gharama kiasi hicho.

..TEKNOLOJIA imebadilika kiasi kwamba hakuna ulazima wa makampuni kuwa na maofisi makubwakubwa.
Gere imeanza kabla haijajengwa🤣
 
Chadema Forever Being
 
Jengo jipya, katiba Mpya….. sio unabwabwaja katiba mpya huku upo banda la zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…