Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

mkuu Kashishi yetu mtu kusaidia watu si kigezo cha huyo mtu kuwa mwema, unaweza kuona mwema kwa vile alikusaidia ila kuna anaowaumiza vibaya mno, kuna mwamba moro alikuwa anasaidia watu sana na mtoaji mzuri kanisan, ila nyuma ya pazia ni mafia hatar, wahindi wa moro walikuwa wanapata tabu sana kwa kutekwa magari yao ya sukar kutoka mtibwa, alikuwa na kikundi chake cha utekaji, alikuja kuuwawa getin kwake baada ya kujichanganya na kuteka gari ya mke wa waziri mkuu mstaafu kuchua kiasi kibubwa cha hela alichokuwa nacho na kumbaka, huo ndo ulikuwa mwisho wake, alikuwa amemweka kamanda wa moro mfukoni, hakuna tukio lililoripotiwa polisi kuhusu yeye akakamatwa.
 
"Umekuja na gari inayofanana na hadhi yake? Pickup?"
Kumbe matabaka hayawezi kwisha
 
Mbona Kama hili igizo liko scripted....
 
Yaani anatapeli milioni 800 harafu anazuga na kimsada Cha laki
 
Duu ile restaurant pale kipindi inazinduliwa niliioona mpaka nikasema jamaa ana akili ya kuona mbali guess what nikatoka kitaa kile baada ya siku nyingi kidogo nikarudi town napita pale imekufa kifo cha mende nikajua tu huyu jamaa tapeli kuna tukio alipiga kwa ninavyomfahamu!
😁😁
 
Njia ya kujificha ile,ndomana makonda alupokuwa rc dar alimnyima vibali kufanya matamasha yake ya upigaji
Anamjuwa

Ova
Makonda alimuassist sana jamaa kutubana watu tunaokodisha movies.

Hadi Siro akatumika kwenye hilo sakata. Kama alinyimwa vibali na Makonda labda kwa mambo mengine lakini hao wanajuana
 
Ana mgahawa pale jengo la life house,kwa chini na kama kapanga pale sijui kama kodi analipa,huyu akipanga sehemu lazima afanye uzushi

Ova
Mfano mkataba unasema kodi italipwa kwa mwaka na akasaini.

Yeye anao na mwenye jengo anao.

Kikifika kipindi cha kodi anazusha nini ili asilipe kodi na hapohapo aendelee kupanga?
 
Yaani anatapeli milioni 800 harafu anazuga na kimsada Cha
Mimi kwa kipindi hicho na sikuwa na pesa siwezi kumsema vibaya kikubwa ni kumulmbea Mungu amfanyie wepesi.

Na Sina hakika kama katapeli kweli au laa maana MFUMO wa mahakama wenye kutoa haki haujamtangaza rasmi kuwa tapeli.

Ukifuata wanasiasa wengi hupenda kujitengenezea umaarufu bila kuja upande mwingine na ndiyo maana maamuzi Yao wakipelekwa mahakamani yanatenguliwa!!
 
Tayari anatuhuma zaidi ya Moja za utapeli Tena katuhumiwa na mhimili mzito sana ambao ni serikali kwaiyo matatizo yako ya kushindwa kutimiza majukumu yako mama wa mtoto yasikufanye kuja kumpampa huyo bwana humu
 
Mwana mpiga mbaya, ukiuliza majaji mahakama ya Rufaa wanamjua.
ana kesi za ardhi kila uchao.
Inasemekana alikuwa anakula "Lozi Mwando"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…