DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimpe pole aliyepatwa na mkasa huu,iwe funzo pia kwetu kuwa hata kama hatutoi basi walau kwa mwezi uwe unaangalia kasalio ili kujiridhisha na 'wadukuaji' kama hao.
NMB inabidi wawe wakali kwa wafanyakazi wao vinginevyo hii itawapunguzia kuaminiwa.
 
Ongezea hapo:

1. Kilimanjaro Cooperative bank iko huko Kilimanjaro( ombeni, Kingazi, makwebe) wapo magereza / wafungwe tu.

2. Akiba bank

3. Azania Bank ( kulikuwa na kijizi kimoja kinaitwa Swai, mtumishi wa Azania).

3. Saccos zote ni wezi wa mchana kweupe na wanashirikiana na mabank)
 
Hata mm nilishangaa. Waliniingizia gawio langu kimyakimya. Nilijiuliza kulikoni, nikakosa jibu. Walisema hakutakuwa na mkutano wa wanahisa kukutana. Jambo la ajabu mkutano ulifanyika Arusha kimyakimya. Na watu kadhaa walishiriki. Benki hii inatakiwa ifumuliwe iundwe upya
 
Benki za kibongo siziamini.

Mimi mwenyewe kuna rafiki yangu mpaka sasa anakimbizana na watu wa benki moja kubwa Bongo iliyopata tuzo hivi karibuni, kuna kama milioni 250 zake hazijulikani zilipo.

Maafisa wa usalama wa benki badala ya kuona aibu na kufanya kazi kuzirudisha, wanafanya uchunguzi mwezi wa 6 huu.

By comparison, more than 10 years ago, mimi nilishawahi kuibiwa $4,000 Citibank. Kuna jamaa walipata details zangu wakachonga kadi, wakatoa hela Dubai.

Citibank walikuwa so embarassed, niliwapigia simu Alhamisi, Jumatatu hela zikawa zimerudi tayari.

Walichofanya ni kuniuliza tu kuhakiki kama nimempa mtu kadi yangu na pin number. Nikasema sijampa. Wakaniuliza kama nimetoka nje ya Marekani wakati huo, nikasema sijatoka. Wakaangalia wenyewe wakaona mchezo umechezwa Dubai. Halafu wakajua kuwa kuna genge fulani linacheza ule mchezo. Wakanirudishia hela zangu mara moja.

Mpaka leo huniambii kitu kuhusu Citibank na Customer Service yao kwenye haya mambo ya kurudisha hela zinazoibiwa.

Bongo unaibiwa wewe halafu benki bado inakuzungusha haiogopi hata bad publicity!
 
Unaelewa nini juu ya 'siku za usoni'!?
 
Kumbe hawa jamaa wana uwezo wa kukwapua hela zetu
Kuna kisa kimoja kilinipa maswali sana.

Kuna shangazi yangu mmoja Huwa yuko kijijini ana shughuli zake za kilimo. Sasa kuna kiwanja chake kilikuwa Morogoro maeneo ya ifakara, Binti yake akakiuza. Akamwambia binti yake Mil 1 amuwekee kwenye simu yake na laki 5 amuwekee bank. Sasa ile ya kwenye simu ilikaa zaidi ya mwaka hajaigusa.

Sasa siku ya siku ameenda 'center' kwa wakala kutoa laki 1, inagoma. Kumpa wakala anamuambia 'mama mbona hii line haijasajiliwa ....money?' Shangazi akamuonyesha message ya muamala wa kupokea Mil 1. Kuwapigia Call center, wanamuambia hajawahi jiunga 'air...money'. Ikabidi aende wilayani duka la huduma kwa wateja, nao wakawa na jibu hilo hilo. Alisumbukia week nzima; ulokole wake akaamua muachia Mungu tu.

Nimekuja learn hili tukio baada ya Mwezi, kuna jamaa yangu yukn kwenye mitandao, akaniambia hiyo issue imepigwa na watu juu wa mtandao huo.
 
Daah wewe wa mtwara kabisa unamkumbuka kweka boss nsijute na skoya alikua ana pesa ndefu ila alifariki tayari.
 
City bank sio hiyo ilitokea Tukio la kasusura zikaibiwaa Dollar za kutoshaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aaha shida huyo maza nae alikwamaa Unaweka hela yote hiyo kwenye simu na huitumii laini???? Huwa zinafungwaa tena ubayaa wanafunga na Kumpa mtu mwingine chap chap mzeee ili mradi helaa ipigwee kihalaliii bila longolongooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mzee hiyo line alikuwa anaitumia kwenye Mawasiliano kama kawaida
 
City bank sio hiyo ilitokea Tukio la kasusura zikaibiwaa Dollar za kutoshaa[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii Citibank North America mkuu, sio Citibank ya Bongo.

Halafu, point si kwamba hela haziibiwi. Benki hela zitaibiwa tu.

Hiyo si issue.

Issue ni, hela zako zikiibiwa, benki inakurudishia kwa haraka vipi?

Hivi Bongo hela zikiwa benki ziko insured kivipi?

Maana najua Marekani hela mpaka $100,000 ziko FDIC insured.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…