NDIO MAANA WAKAMUUA CHID BOYWatu wana pesa sana wenyeji wa masasi mjini watakuwa wanamfahamu marehemu Chidi boy huyu mwamba alikuwa na pesa ndefu sana wakati kama huu wa mbaazi wengi walikuwa wanaenda kwake anakupa mpaka milion 50 unaenda kukomaa nayo shambani ukishapata mzigo wa mbaazi ni hiyari yako umuuzie yeye chidi au usafirishe upeleke dar pale biasi na hata ukikataa kumuuzia yeye chidi wala hana noma
nimerudi wizooo nilikuwa honeymoon na kaka akoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuna njaa kali muda wote tunahisi kuibiwa
Wizo umerudi
...... $4,000 Citibank...... Dubai (Kama HushPuppi !!!)Benki za kibongo siziamini.
Mimi mwenyewe kuna rafiki yangu mpaka sasa anakimbizana na watu wa benki moja kubwa Bingo iliyopata tuzo hivi karibuni, kuna kama milioni 250 zake hazijulikani zilipo.
Maafisa wa usalama wa benki badala ya kuona aibu na kufanya kazi kuzirudisha, wanafanya uchunguzi mwezi wa 6 huu.
By comparison, more than 10 years ago, mimi nilishawahi kuibiwa $4,000 Citibank. Kuna jamaa walipata details zangu wakachonga kadi, wakatoa hela Dubai.
Citibank walikuwa so embarassed, niliwapigia simu Alhamisi, Jumatatu hela zikawa zimerudi tayari.
Walichofanya ni kuniuliza tu kuhakiki kama nimempa mtu kadi yangu na pin number. Nikasema sijampa. Wakaniuliza kama nimetoka nje ya Marekani wakati huo, nikasema sijatoka. Wakaangalia wenyewe wakaona mchezo umechezwa Dubai. Halafu wakajua kuwa kuna genge fulani linacheza ule mchezo. Wakanirudishia hela zangu mara moja.
Mpaka leo huniambii kitu kuhusu Citibank na Customer Service yao kwenye haya mambo ya kurudisha hela zinazoibiwa.
Bongo unaibiwa wewe halafu benki bado inakuzungusha haiogopi hata bad publicity!
NakaziaHapo sio Samwel tu anaehusika kuna mchezo mchafu unahusisha mpaka wakubwa wa hio branch.
Inakuwa disabled..... Mbona rahisi tuuπInakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Mmh hapo majangaaa...!!Mzee hiyo line alikuwa anaitumia kwenye Mawasiliano kama kawaida
Unajua maana ya kuchomoa kidogo kidogo?. Hana hata 10. Ilikuwa achukue zote kwa pamoja ndio ungekuwa mtaji. Wezi wengi wa hivyo nawaona wajinga tu ksbb mwisho wa siku wanakuwa hawana hata 100. Ksbb ilikuwa akichomia milioni 5 anasikilizia siku kadhaa then anaanza kuipiga. Ikiisha anarudi kwenye kihenge.Zinatosha kuanzisha ka mtaji
Ni kweli. Kuna kesi nyingi za warithi kudhulumiwa na kudanganywa kuhusu kiasi cha fedha kilichokuwa kwenye account ya marehemu.Ndiyo maana mimi naamini wasimamizi wa mirathi hupewa taarifa za uongo na benki kuhusu pesa walizoacha marehemu hasa wale wa fixed.
Wanachofanya anagushi sahihi yako kisha kila kitu kinaendelea kwa kughushi tu kuanzia kuomba kadi na kuendelea. Naku-mention kwenye uzi mmoja ambao mfanyakazi wa CRDB ubungo aliiba pesa za mteja zaidi ya milioni 100 kwa mtindo huu mwaka 2019.Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Alikuwa anachomoa kidogo kidogo usikute zilikuwa zinaishia barZinatosha kuanzisha ka mtaji
Mkuu hiyo ilikuwa kama 2010 hivi, nafikiri Hushpuppi alikuwa bado kwenye nappies....... $4,000 Citibank...... Dubai (Kama HushPuppi !!!)
Pia mnahakika kuwa aliweka hiyo hela bank? Maana wazee nao huwa wanamafekeche yao.Ni kweli. Kuna kesi nyingi za warithi kudhulumiwa na kudanganywa kuhusu kiasi cha fedha kilichokuwa kwenye account ya marehemu.
Binafsi mzee wangu alikuwa anafanya shughuli zake na alikuwa anaweka fedha benki pia Alikuwa mstaafu so alikuwa analipwa Pension yake via NMB. Mwaka ambao mzee alifariki, alivuna mpunga na akauza gunia zaidi ya 500 ambazo alipeleka benki. Baada ya kufariki na tulikaa muda mrefu kupata utaratibu wa mirathi kwenda benki tunaambiwa mzee alikuwa na laki saba tu benki.
Mkuu huko deep sana. Nakufuatiliaga sana michango yako.Mbona kesi rahisi sana hiyo bank wanapaswa walipe haraka kanuni ya vicarious liability bank hawachomoki. Kama mna shida kisheria semeni niwasaidie
Mtanzania haaminiki kwenye mambo ya fedha. Narudia tena: mtanzania haaminiki kwenye mambo ya fedha. Najua duniani kote binadamu kwenye fedha ni kitu kingine lakini kwa Tanzania ni zaidi. Benki nyingi tu (labda ondoa zile za kimataifa) wafanyakazi wake hawaaminiki. Bongo ukiwa na fedha benki inatakiwa kila uchwao uwe unaangalia balance. Na wakati wa kutoa kama unatoa fedha nyingi uwe makini sana kwani unaweza kuwekewa majambazi.Kuchomoa hela kwenye akaunti ya mtu halafu jinai hiyo inafanywa na mtumishi wa bank ni wazi NMB si sehemu salama kuweka akiba