Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Gharama zimebadilika sababu kubwa ni nchi yetu tunategemea sana vitu kutoka nje... sasa sea freight charges have gone so high compared to previous years na bado zinaongezeka hii imepelekea kuongeza gharama kwenye malighafi na bidhaa zinazoingizwa nchini ili kucover ongezeko hilo... mwanzoni mwa mwaka huu sea frwigh for 40 feet container ilikua around $4,000 na sasa ni around $8,000
Kwa Nini imepanda kiasi cho hi mkuu?Gharama zimebadilika sababu kubwa ni nchi yetu tunategemea sana vitu kutoka nje... sasa sea freight charges have gone so high compared to previous years na bado zinaongezeka hii imepelekea kuongeza gharama kwenye malighafi na bidhaa zinazoingizwa nchini ili kucover ongezeko hilo... mwanzoni mwa mwaka huu sea frwigh for 40 feet container ilikua around $4,000 na sasa ni around $8,000
ππππMikoani huku tunakula nyama ya kuku tu,dar wanakula miguu ya kuku,kichwa chake,utumbo wake.
Wanaishi Maisha magumu sana.
Hizo zinaitwa ngwaraHali ni mbaya kwelikweli,nimeona watu Tandika wanakula miguu ya Kuku kama mlo wao kamili.
Umeongea vizuri mkuu, kwetu wakati grab ya vitu kupanda salary zipo pale pale kitu pia ambacho kinapunguza mzunguko wa fedha kwenye jamiiNaona ni duniani kote vitu vimepanda na sababu kubwa inaweza kuwa ni uviko
Hata China vitu vimeongezeka bei
Hapa [emoji636] kwa mara ya kwanza fuel imefika Β£1.52 (4,500/=) kwa litre na bidhaa nyingi zimepanda
Maisha yatakuwa magumu zaidi kama mishahara itakuwa hivyo hivyo
Ila wenzetu wanajielewa
Nimecheka mkuu,kwamba lahana ya mzee Lowasa itawatafuna ccm mpaka mwisho,lakini alisharudi nyumbani ,maana nyingine amesameheHii nchi mambo yalianza kugeuka 2015 hii ni laana ya lowasa mlimtukana mkapora alichopewa na Mungu 'ushindi' mkamtabiria kifo mkamtukana sasa mnakufa wenyewe,mlimbagua mnazidi kubaguana,Ccm mliomtenda yule mzee hamtabaki salama,kibaya kinacho fanya Mungu asimame dhidi yenu "AMENYAMAZA KIMYA"
Wanadai ni effects za covid 19 na containers hazipatakani...Kwa Nini imepanda kiasi cho hi mkuu?
Pale kijani zetu keki za taifa kwa kwenda mbele, Hadi keki za kuku, kawaida saaana.ππππ
Viti vikiendela kupanda pesa itapoteza thamani, pesa ikipiteza thamani uchumi utaanguka. Hivyo hata ukitafuta vipi itakua kazi bureUsijadili kwa nini vimepanda; jadili namna ya kutafuta kupambana nayo
Mimi heshima tele kwa Wanyaturu,wale jamaa ni Mashujaa,angalia mfano Tundu Lissu.Mchumia tumbo tu yule. Hakuna mchumi
Una matatizo; Hivi vitu vina kanuni na Ukombozi wa kiuchumi is not a collective thing!Viti vikiendela kupanda pesa itapoteza thamani, pesa ikipiteza thamani uchumi utaanguka. Hivyo hata ukitafuta vipi itakua kazi bure
ππππPale kijani zetu keki za taifa kwa kwenda mbele, Hadi keki za kuku, kawaida saaana.
Sukuma gang mtapata tabu sanaWewe pimbi huyo Bibi ako nchi imemushinda! Endelea kulaumu watu ambao hatuko nao ni upumbavu uliopitiloza!
Mpaka wayaite maji mmaSukuma gang mtapata tabu sana
Umeongea vizuri mkuu, kwetu wakati grab ya vitu kupanda salary zipo pale pale kitu pia ambacho kinapunguza mzunguko wa fedha kwenye jamii
Leo nmeenda kununua saban ya 500 naambiwa 700( ile ya unga) kiukwel huko mbele cjui Kama mama atatufikisha,na tukifika tutakuwa tmechoka Sana..Nawasalimu wanajf wote popote mlipo.
Siku ya pili Sasa nimeshindwa kupata jibu la swali tajwa ,maana ni kilio kwa kila ndugu na jamaa kutoka mikoa mbali mbali ambao tunawasiliana muda mwingi achilia wazee wangu walio vijijini,wakati inasemakana mama anaupiga mwingi.
Kwa kuwa JF Kuna wachumi na watu wenye UPEO wa Mambo ya kadha wa kadha naombeni mnijibu swali langu
Mpaka Sasa
1. Vifaa vya ujenzi havikamatiki, naambiwa Mwanza mfuko unacheza kuanzia Elfu ishirini na kuendelea, DODOMA mfuko kuanzia tsh 17000 na kuendelea,ujaweka mabati , nondo n.k, Sasa sijui mikoa ya pembezoni Hali ipo vipi ,jibu Hali itakua mbaya
2.Matumizi ya kila siku ya nyumbani Hali ipo ivyo, nyama kwa Sasa wanakula wachache maana kilo ipo elfu saba mpaka elfu nane
Kwa ujumla kila kitu kiko juu, Bila kusahau miamala ya kwenye simu ,ukitoa tsh 120,000/= Makato ni elfu 5300 na point
Katika mazingira Kama ya Sasa tunatoka vipi, na shida nini Hali kua Kama ilivyo sasa