Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania


Ni makosa ya Magufuli, Sukuma Gang kwa kila tatizo. Kila kitu. Ni Sera yetu thabiti. Ilani yetu hadi 2030.

Kuwatukana kila siku 25% ya wananchi, wapinzani wote25%, wasio na vyama wote25%, wasiokubaliana ndani ya chama %.

Nguvu yetu thinktank letu mmavia, Tindo, Hamatan (Barms) na wengine wengine.
 
Walisema magufulia aliua viwanda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya sasa hivi mama wa kupanua nchi imekuwaje
 
Mama alishasema yeye hafokifoki ni vitendo tu....kakaa kimya anatucheck kwa upoleee na kwa jicho legevu la jinsia ya kike. Kazi iendelee.
 
Sasa mkuu, ni kipi ambacho ni kigumu kwako kukielewa katika hayo uliyoandika?

Hii serikali haikuficha kitu toka mwanzo, kwamba maslahi ya wafanya biashara ndio kipaumbele cha serikali hii. Wewe hukuwahi kusikia 'Maza Mizinguo' toka mwanzo akijieleza?

Sasa ulitegemea atafanya nini ili kutimiza hayo aliyowaahidi watu wake! Kwani hapa kweli kuna swali gumu lolote ulilouliza?

Au wewe hukuamini alivyokuwa akitangaza mipango hiyo? Au ulitegemea atawazawadia kitu gani hao watu wake 'special' ndipo uelewe kwamba kweli alimaanisha alichokuwa akisema!

Wakati mwingine watu hupenda kujichanganya tu wenyewe, mahala ambapo hapana mkanganyiko wowote. Pengine kwa unazi wako kwake hukupenda kabisa kuamini kwamba yeye atasababisha hali iwe ngumu kama unavyoieleza.

Basi sasa elewa, hali unayojisikia nayo ni matokeo ya kuwaridhisha watu waliochaguliwa kuneemeka katika utawala huu. Wewe na hao wazee wako huko vijijini hamumo kwenye kundi hilo maalum.

Sasa umeelewa?
 
SSH alifeli kidato Cha nne,Kisha akaungaunga na kuwa sekretari katika ofisi ya umma,hivyo uwezo wake katika jukumu kubwa la nchi Ni mdogo Sana,yeye kila Siku anashinda barabarani huku ya nyumbani akipashwa habari Kama mpita njia.Huyu Hana uchungu wowote na Taifa letu,mpaka tunafika 2023 Taifa litakuwa halina tofauti na Zimbabwe ya Mugabe.

Leo mvua nchini Ni pungufu lakini bado Bibi wa shungi anashindwa kuzuia usafirishaji wa chakula nje ya nchi.

Hiki chama hatuwezi kupata mtu sahihi wa kuivusha nchi kwani wote wapigaji.
 
Wachoyo,omba sasa isitokee kanda ya ziwa,utasumbukiwa samaki wakati wao hata hao wadudu wa baharini hawaji nao

Hahahah tunawaulumu bure mkuu,wanaishigi maisha ya kimaskini sana huku Dar.Kula miguu ya kuku sio mchezo mkuu,lazima akili ihame.
 
hata mie sielewi ni kwamba kuna watu/wafanyabiashara wanamdharau Mama kwa kuongeza bei ya bidhaa ama vp.

Sa zingine naona umuhimu wa yule dikteta kwasababu kwa sasa mambo hayaeleweki kabisa kuanzia bei ya vitu, umeme, maji nk nk
Mtauona sana tu, visionary leader mwenye msimamo kama wa JPM kumpata itachukua muda sana. Mlimtukana na kumuita kila jina baya ila he was something.

Mama anafungua nchi maana ya kurejesha utawala wa kifisadi na wale mapapa wote walafi watafuna nchi anawawezesha kurudi kwenye njia zao za upigaji. Usitegemee maisha mazuri kwa namna yeyote ile.
 
Sasa hayo ni madhara kweli! Yani kwenye utawala wake misumari kilo uuziwe elf 5 halafu awamu hii kilo hio hio iuzwe elfu 15 utakuwa una kitu zaidi ya bange umetumia.
 
Kama unapenda sana Lowasa nenda ukanywe naye chai.
 
Hali ni mbaya kwelikweli,nimeona watu Tandika wanakula miguu ya Kuku kama mlo wao kamili.
Ukiona wanakula miguu ya kuku kwa wingi maana yake kuku wameliwa kwa wingi pia! Ha ha ha!

Limwesikika taga moja kikaoni likifoka na kujichekesha kwa hasira na dharau kali mbele ya wajumbe waliokatazwa kuhoji wala kuuliza lolote.
 
Mbona imeandika KWa kunifokea , hoja yako ipo kushari Sana, ok naeshim mawazo yako mkuu, ila binafsi naona umejadili KWa kulaisisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…