Mgeni mwalikwa Mkutano Mkuu wa CCM kuita CCM 'Chama cha Mambuzi' ni kwa bahati mbaya au kweli?
Sioni kosa lake, mbona amesema ukweli kwani ccm sio chama cha mambuzi?
Nilicheka hadi nikafufuka upya wakati mjumbe wa Ethiopia alipokiita CCM chama cha mambuzi.

hebu msikilize na wewe

 
Chaman Cha ma meeeee kazi yao ni

Mama anaupiga mwingi.......
Mitano Tena Kwa.......
Hawajawai kua na msimamo na wanachokitaka Kila kitu kwao ni kusifia tu.
 
Back
Top Bottom