pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
haikuwa bahati mbaya bali ni; Roho Mtakatifu alimuongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ya kweli ni ile ya Mwalimu Nyerere hii ya Dr. wa mchongo Samia ni ya majambazi!Chadema ya kweli ni Ile ya Slaa hii ya Mbowe hamna kitu
Nilicheka hadi nikafufuka upya wakati mjumbe wa Ethiopia alipokiita CCM chama cha mambuzi.
hebu msikilize na wewe
Huyu hapa beberu, wakati wa JPM walikuwa wana starveWatalamu tunasema deal done, yule jamaa nikimwona Nampa mke wangu maana kaenda mlemle hiki Chama kumbe kirefu chake ni chama cha mapunzi wao wanatudanganya wanatoa mbuzi wanaweka mapinduzi. Yule mtu apewe ulinzi na ajengewe sanamu pale nje ya ukumbi wa Chama cha MAMBUZI
N. B yusuph makamba heshimu waandishi wa Habari usijizime data, wale ndowanatupa taarifa wananchi kama huwezi kujibu maswali ni bora ukasema no comment maana mm ningekuwepo usingejaribu kuniwekea kidole puani mana mpaka sasa taarifa ingekuwa tofauti na mambo yangebadilika
Huyu hapa beberuWatalamu tunasema deal done, yule jamaa nikimwona Nampa mke wangu maana kaenda mlemle hiki Chama kumbe kirefu chake ni chama cha mapunzi wao wanatudanganya wanatoa mbuzi wanaweka mapinduzi. Yule mtu apewe ulinzi na ajengewe sanamu pale nje ya ukumbi wa Chama cha MAMBUZI
N. B yusuph makamba heshimu waandishi wa Habari usijizime data, wale ndowanatupa taarifa wananchi kama huwezi kujibu maswali ni bora ukasema no comment maana mm ningekuwepo usingejaribu kuniwekea kidole puani mana mpaka sasa taarifa ingekuwa tofauti na mambo yangebadilika
Nilicheka hadi nikafufuka upya wakati mjumbe wa Ethiopia alipokiita CCM chama cha mambuzi.
hebu msikilize na wewe
Mgeni yuko sahihi kwani chama cha mambuzi siyo kiswahili, wakati kila siku maza anawambia kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yakeCHAMA CHA MAPINDUZI.
Mgeni wetu kiswahili ni changamoto kidogo.
kapiga mlemleJamaa ana akili sana. Amejuaje?
bado anatafuta limbuzi wa kumpelekea beberu lakeHivi mgeni wetu rasmi kwenye mkutano wa mambuzi alishaondoka au bado anapiga story mambuzi?
mbuzi za siku hizi majeuri sokoni kila mahali hadi yanalala kwenye lami kwa jeuriMbuzi ni wasumbufu! Hawatosheki na kidogo wanachopata! Ni walafi! Wanapenda kuzurura hovyo!!
kwani yeye tu ndiye ambae alikuwa hajui kiswahili pale? Mbona wengine walikuwa fit tu? Sema tu za mwizi ni 40 sasa zimefika.Huyo kiswahili sio lugha yake, ww umeona furaha ipi? Shida yako uitukane CCM, please CCM uiheshima kama Baba na Mama yako..
CHAMA CHA MAMBUZI kweli kabisaCHAMA CHA MAPINDUZI.
Mgeni wetu kiswahili ni changamoto kidogo.
ahahaa hivi hao mbuzi ukute wameshamwambia yule jamaa aisee umetuita we are the goats partyCHAMA CHA MAMBUZI kweli kabisa
Uchaguzi wa Seikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2022 pamoja na kuwalinda(Kukumbatia) Wabunge 19 kwa jina feki la Wabunge wa Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM NI CHAMA CHA MAMBUZI.ahahaa hivi hao mbuzi ukute wameshamwambia yule jamaa aisee umetuita we are the goats party