Mgeni mwalikwa Mkutano Mkuu wa CCM kuita CCM 'Chama cha Mambuzi' ni kwa bahati mbaya au kweli?
Watalamu tunasema deal done, yule jamaa nikimwona Nampa mke wangu maana kaenda mlemle hiki Chama kumbe kirefu chake ni chama cha mapunzi wao wanatudanganya wanatoa mbuzi wanaweka mapinduzi. Yule mtu apewe ulinzi na ajengewe sanamu pale nje ya ukumbi wa Chama cha MAMBUZI

N. B yusuph makamba heshimu waandishi wa Habari usijizime data, wale ndowanatupa taarifa wananchi kama huwezi kujibu maswali ni bora ukasema no comment maana mm ningekuwepo usingejaribu kuniwekea kidole puani mana mpaka sasa taarifa ingekuwa tofauti na mambo yangebadilika
Huyu hapa beberu, wakati wa JPM walikuwa wana starve
 
Watalamu tunasema deal done, yule jamaa nikimwona Nampa mke wangu maana kaenda mlemle hiki Chama kumbe kirefu chake ni chama cha mapunzi wao wanatudanganya wanatoa mbuzi wanaweka mapinduzi. Yule mtu apewe ulinzi na ajengewe sanamu pale nje ya ukumbi wa Chama cha MAMBUZI

N. B yusuph makamba heshimu waandishi wa Habari usijizime data, wale ndowanatupa taarifa wananchi kama huwezi kujibu maswali ni bora ukasema no comment maana mm ningekuwepo usingejaribu kuniwekea kidole puani mana mpaka sasa taarifa ingekuwa tofauti na mambo yangebadilika
Huyu hapa beberu
 
HAWA SASA NDIO CCM, WOTE WANA NGOZI NZURI KUASHIRIA MAISHA MAZURI.

SASA KUNA TAKATAKA ZIKO HUKOOOO, NA KOFIA NA KANGA 😂 😂 NAO WANAJIHITA CCM
 
Na kama mbuzi achinjwavyo vivyo hivyo na ccm itachinjwa na wananchi 2025.
 
Chama Cha...
JamiiForums-1641080614.jpg


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom