laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Makamanda walipiga viroba kwenye hivi viti wamefanya makosa mengi sana watajutia...yani wanampa Atropia wana mnyima Rose...duuu
Antropia atakuwa hawara wa mkuu pale Ufipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda walipiga viroba kwenye hivi viti wamefanya makosa mengi sana watajutia...yani wanampa Atropia wana mnyima Rose...duuu
Mkuu umeniacha hoi sana.
Hata yule pacha wa Regia mtema aliyesifiwa sana wamemtosa.
Hiki chama hakika kina wenyewe...yani Ester wasira,Rose na Pacha wa Regia sikutegemea kama wangenyimwa viti maalum...! Walimtumia sana Ester kwenye sherehe MC leo wamemtupa....! Hakika hiki chama kina wenyewe....hata esther wassira nae wamemtosa...hawa jamaa bana wamechomeka jamaa zao
Antropia atakuwa hawara wa mkuu pale Ufipa
Lazima...Antropia atakuwa hawara wa mkuu pale Ufipa
Hata Mimi sidhani MTU aliyegharimu jimbo kupewe viti maalumu, kama hilo ni kweli na hatutapewa maelezo yoyote ya kutetea uamuzi huo NITAJITOA UKAWA Mara moja.
na mm ntakuunga mkono, huyu dada nmemchukia kweli km chadema inashindwa kuwachukulia hatua kali watu km hawa, ikulu itapasikia redioni. nina mashaka alihongwa na ccm. Ukifuatilia vzr uchaguz wa Ilala, segelea, kgamboni na mbagala, km UKAWA wangekua na umoja kweli, ccm wasingepata hata jimbo moja Dar
Kuandika facebook haimaanishi kinyongo kimeisha.
Si mlisema huu mgogoro wa jimbo la segerea umetatuliwa..?nini kilijiri baadaye
Chadema asilia ikirudi basi sawa maana tumetoka you mbali na tunajua malengo yake, lakini chadema hii ya sasa hawana chochote wanachokisimamia.Tuna jukumu la kulea upinzani!
Mtatiro huyu aliyeukosa urais wa UDSM au?
Pengine angekubali kuanzia harakati zake chadema angefika mbali
Viti maalum ni kwa wanawake km nimekosea nishaahishe
Nitajitoa ukawa na uharakati wangu pindi huyu mdada akipewa ubunge viti maalumu. Nitaamini ukawa kuna mambo ya uwesharati
Hii inatokana na chadema kuwapa viti maalumu watu mizigo.....mitandaoni kila mpigania ama mfia chama amelaani sana kuwa viti maalumu vimetolewa kwa uprndeleo mwingi sana.........dhana ya #chadema INA wenyewe.....ilikwepo toka enzi na enzi.......
Chadema ni ile ile na INA copy na kupaste mambo ya ccm............
Kumbe kimechafuka mtandaoni IT Masaki bana.Hii inatokana na chadema kuwapa viti maalumu watu mizigo.....mitandaoni kila mpigania ama mfia chama amelaani sana kuwa viti maalumu vimetolewa kwa uprndeleo mwingi sana.........dhana ya #chadema INA wenyewe.....ilikwepo toka enzi na enzi.......
Chadema ni ile ile na INA copy na kupaste mambo ya ccm............