Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Nafikiri Salum Mwalimu pia anamzidi elimu Amani Karume Jr, huyu baba yake na Fatma Karume...mbona Abeid Amani Karume alikuwa?
..Salum Mwalimu ana elimu kumzidi Abeid Amani Karume[r.i.p].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri Salum Mwalimu pia anamzidi elimu Amani Karume Jr, huyu baba yake na Fatma Karume...mbona Abeid Amani Karume alikuwa?
..Salum Mwalimu ana elimu kumzidi Abeid Amani Karume[r.i.p].
Weeeee Magufuli kwa kiingereza usimchezeee, kama hujui kiingereza chake alifundishwa na muingereza mwenyewe, Jpm akitema yai hapa hadi Queen Elizabeth anampigia saruti jinsi RP ya JPM ilivyosimama, sio nyinyi mliofundishwa na waganda.Wanamzidi magufuli
Nimetoa masikio yako mkuu[emoji23][emoji23]Hapa ndiyo unaona umetoa hoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Siipendi CCM kabisa kutoka uvunguni mwa moyo wangu ila Mwalimu kuwa mgombe mwenza sijaafiki hata punje,huyo enzi tupo IFM aliachiwa uraisi kwa miezi michache tu baada ya raisi kusimamishwa chuo sababu ya migomo akanunua gari kwa kupiga deal za IFMSO ndo awe makamu wa raisi wa JMT.Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Unataka awe Hamad rashid au yule mama mweupe ambaye akiingia tu ofisini kwa musee sitiresi zinakwisha tuEti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
Hahaha kweli kwa boko ulilotoa hata mwenyewe unajishangaaNimetoa masikio yako mkuu[emoji23][emoji23]
propaganda kwa Lisu zimekwisha anaendelea kuwanyoosha tu sasa mehamia kwa mgombea mwenza safari hii mtamyooka tu hakuna namna muwakabidhi nchi waiongozeHivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Wewe ndio ujishangae, Mimi Niko cool na nilichokiandika and I'm comfortable shida kwako wakutaka kunipangia Cha kuandikaHahaha kweli kwa boko ulilotoa hata mwenyewe unajishangaa
acheni kukariri zama zimebadilika hata mimi naweza nikipewa nafasi kama magufuli amejaribuKuna sehemu chadema wamekosea hata Mimi nimeona! Jamani mwenye CV ya salum mwalimu aidondoshe hapa tuione! Maana chadema tunaona kama wanatania taasisi ya uraisi!
Si Tundu wala Mwalimu wote ni vitukoHivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Ni kwanni VP huwa anapewa wizara za kichovu hivyo ?
Wakikusikia wenyewe utajuta kuzaliwa na kuwa mwana JF!Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Huwa unatumia akili kama unaelekea kutoa mimba ya hawara yako.Tulia.😂😂😂😂Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Mkuu huyo ni mashine nyingine ,huyo ni kama wakina kiduku wa korea kaskazin huyo muache alivyo na uzuri nimesoma na wazanzibar nawamisi sana na ni watu wajitambua sana na nishupavu, niseme Tanzania tuna viongozi wengi tu na mwalim na mgombea mwenaza yuko safi hongera chadema maana tumezoea kwamba umri ndo uongonzi but uongozi huzaliwa katika dam thats hata Mwl nyerere hakua na elim kubwa kulioko wakolon but waliisoma namber, Mwalim ni kiongonzi hata speach yake imeshiba so kwa combination na lissu iko sawa , utamuelewa tu ngoja kampe ziaanze lasmi , nimemkubali sana na kama humkubali basi una ajenda za siri toka moyoni mwako
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Kupata kichekesho kama hiki....Weeeee Magufuli kwa kiingereza usimchezeee, kama hujui kiingereza chake alifundishwa na muingereza mwenyewe, Jpm akitema yai hapa hadi Queen Elizabeth anampigia saruti jinsi RP ya JPM ilivyosimama, sio nyinyi mliofundishwa na waganda.
Pipo used to die in ze in ze in ze rake.Kupata kichekesho kama hiki....