Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

Wanamzidi magufuli
Weeeee Magufuli kwa kiingereza usimchezeee, kama hujui kiingereza chake alifundishwa na muingereza mwenyewe, Jpm akitema yai hapa hadi Queen Elizabeth anampigia saruti jinsi RP ya JPM ilivyosimama, sio nyinyi mliofundishwa na waganda.
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
Siipendi CCM kabisa kutoka uvunguni mwa moyo wangu ila Mwalimu kuwa mgombe mwenza sijaafiki hata punje,huyo enzi tupo IFM aliachiwa uraisi kwa miezi michache tu baada ya raisi kusimamishwa chuo sababu ya migomo akanunua gari kwa kupiga deal za IFMSO ndo awe makamu wa raisi wa JMT.

Mwaka huu sipigi kura.
 
Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?

Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais?

Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
propaganda kwa Lisu zimekwisha anaendelea kuwanyoosha tu sasa mehamia kwa mgombea mwenza safari hii mtamyooka tu hakuna namna muwakabidhi nchi waiongoze
 
Hahaha kweli kwa boko ulilotoa hata mwenyewe unajishangaa
Wewe ndio ujishangae, Mimi Niko cool na nilichokiandika and I'm comfortable shida kwako wakutaka kunipangia Cha kuandika
 
kama magufuli kaweza kuongoza tanzania kuna mtanzania gani atashindwa kuongoza hii nji
 
Kuna sehemu chadema wamekosea hata Mimi nimeona! Jamani mwenye CV ya salum mwalimu aidondoshe hapa tuione! Maana chadema tunaona kama wanatania taasisi ya uraisi!
acheni kukariri zama zimebadilika hata mimi naweza nikipewa nafasi kama magufuli amejaribu
 
Kuwa kiongozi sio lazima uwe na tumbo kubwaa kama la Kangi 😂😂
Mwalimu yupo vizuri hata CCM wamezidi kupotea dadeki 🤣tukutane Oct 28, ni YEYE ✌️✌️✌️
Mkuu huyo ni mashine nyingine ,huyo ni kama wakina kiduku wa korea kaskazin huyo muache alivyo na uzuri nimesoma na wazanzibar nawamisi sana na ni watu wajitambua sana na nishupavu, niseme Tanzania tuna viongozi wengi tu na mwalim na mgombea mwenaza yuko safi hongera chadema maana tumezoea kwamba umri ndo uongonzi but uongozi huzaliwa katika dam thats hata Mwl nyerere hakua na elim kubwa kulioko wakolon but waliisoma namber, Mwalim ni kiongonzi hata speach yake imeshiba so kwa combination na lissu iko sawa , utamuelewa tu ngoja kampe ziaanze lasmi , nimemkubali sana na kama humkubali basi una ajenda za siri toka moyoni mwako
 
Weeeee Magufuli kwa kiingereza usimchezeee, kama hujui kiingereza chake alifundishwa na muingereza mwenyewe, Jpm akitema yai hapa hadi Queen Elizabeth anampigia saruti jinsi RP ya JPM ilivyosimama, sio nyinyi mliofundishwa na waganda.
Kupata kichekesho kama hiki....
 
Back
Top Bottom