Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Sijaangalia ITV miaka 3 leo sibandukiKwa mara ya kwanza ITV inaangaliwa dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaangalia ITV miaka 3 leo sibandukiKwa mara ya kwanza ITV inaangaliwa dunia nzima
I tell huyu mtu inabidi akapimwe akili what a load of nonsense anaongea, hivi kabisa kuna watu wanaamini upuuzi anao ongea.
Kipindi kizuri hadi ITV wamezidisha dakika....si 45 tena
Acha uongo we jamaa...Kwa mara ya kwanza ITV inaangaliwa dunia nzima
Yaani angelia namfunua upuuzi wake na kuwaonyesha watanzania alivyokuwa mweupe na mambo anayoyaongea ni ujinga mtupu siku nyingine akisikia ana interview na kilatha nakuhakikishia atokei.Kaongee we kama rahisi
Fala kweli wewe .. wafanyakazi wa nchi gn
Hahahah dah Nilifikiri Tanzania Hakuna Uhuru Wa HabariKwa mara ya kwanza ITV inaangaliwa dunia nzima
Yaani angelia namfunua upuuzi wake siku nyingine akisikia ana interview na kilatha nakuhakikishia atokei.
Upuuzi mtupu
Kweli bwana aitwe Rais wetu ateme madiniKipindi kijacho naomba wamwite jiwe,ili aje kuongelea madaraja,barabara na ndege huku akimalizia kusifia warembo weupe na mambo ya chumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kama yanatoka moyoni unayoongea, bilashaka unaongelea tumbo.Kumsikiliza lissu ili iweje sasa. Bora Magufuli anaweza akatamka neema kwa wafanyakazi, wamachinga, boda boda na mama ntilie.
Kweli bwana aitwe Rais wetu ateme madini
Hivi akiongea huwa anapenda kuulizwa maswali,maana mara zote huwa namuona anapenda kuuliza yeye huku akiwa na majibu yake kichwani( hata kama yapo wrong) ili tu aonekane kichwa zaidi mbele za kadamnasi.Mwandishi sijui kama atapata nafasi ya kuchomekea maswali,mzee wa asiyependa kupangiwa!!Kweli bwana aitwe Rais wetu ateme madini
Ha ha ha, hatariKipindi kizuri hadi ITV wamezidisha dakika....si 45 tena