Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mgombea ni Samia mwenye maono ya kutuvusha baad ya nchi kuharibiwa na jiwe. Wawekezani na biasha zinarudi kwa kasi. Mama ongoza miaka 100
2025 hatuna mwingine ndio maana tumefungua mjadala wa 2030.
 
Kwanza hapo hakuna kijana hata mmoja
pili hakuna mwana ccm aliyemsafi mengine yatamaliziwa na wenzangu
HATA UKIMKUTA SHEIKHE/PANDRE YUPO CCM JUA HILO NI JAMBAZI TUU
Wapo wengi tu na ndio maana husikii wakilamba asali za Abdul
 
Nadhani kuna kitu haukielewi vizuri mkuu,
Mkopo umekua na Uchumi umekua pia
Tafuta Majibu ya Kafulila kuhusu deni la Taifa
 
Nilipoona namber 1.nkajua huna akili nkaacha uzi wa kupuuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…