MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huo wimbo aliutunga baada ya kuchapiwa.😅Unammanya kester emeneyer? Jamaa ana goma linaitwa zinzi wimbo naukubali hatari,alikuwa ana upenda mama yangu kipenzi (rip),kila nikiusikia namkumbuka maza,ukizingatia aliondoka nikiwa mdogo, primary skul.
Huyu acha agongewe tu. Na muda si mrefu yule si muda yule demu ataachia ngazi. Ni utoto kuwatangazia watu chombo kama hicho. Wenyewe wanakuchora tu,wanasema heeeeeh....Hii itakuwa mara ya pili
Hapo unatamani wewe ndio ukachukue hiyo nafasi ya huyo demu?Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.
Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi[emoji848]
Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Sio kampeni mkuu ndio uhalisia wenyewe sahivi wanawake wenyewe wanawadharau wanaume wanao oa maana wanajua Hali halisi.. Kugongewa nnje hakuhepukiki kwenye hii eraItakuwa imerushwa na watu wa kataa ndoa. Hawa jamaa wana kampeni Kali. Msiwachukulie kispoti spoti nasikia pia wana mikwanja ya kampeni. Waundiwe jeshi maalum la kuwakabiri b4 its too late
That future will be hell to pay. Women cannot lead.Ni suala la muda.
The future is female.
Huwa watu wanajiuliza kwa nn Mashoga wanaongezeka sana, sababu ndio kama hizi
Wewe umegongwa wapi?
Yule ni baunsa [emoji23][emoji23] ana mwendo wake wakutingisha mabegaMbona hakuna anemuogelea mfalme zumaridi? Kwaio zumaridi sio pisi?
We will seeThat future will be hell to pay. Women cannot lead.
Bomu mnalitengeneza nyie.Endelea kujipa moyo. MUNGU sio kupimwa kwa namna hiyo. Kuna muelekeo mnaenda kutengeneza bomi la garika la 3 la dunia
Wengine hamjashikwa kwa ushahidi mnajiona watakatifu,vificho vinawaokoa sana,na tamaa za mwili zimewazidi mmekua mateja [emoji1787][emoji1787][emoji1787] msihukumu kabla hujahukumiwaUkioa Malaya ni hakika atagongwa
Tatizo tulilo nalo 75% ni malaya nowadays
Hapa ndo tunarudi kwenye point vijana msioe kwa ndoa wekeni wanawake kinyumba bila ndoa ili mda wowote ule unaacha unapita zako kushoto...miliki ghetto kali huwezi kukosa mwanamke wa kung'ang'ania humo hapo ndo unazalisha mnaishia kihunihuni likibumbuluka unapita kushoto easy in easy out...muwe smart vijana
Sheria ya miezi 6 haina prove ya uhakika mahakamani ipuuzieni...
Msiwe wepesi kuoa makanisani labda km muislam...
Ok bonge la wimbo,nimeusikia niko mdogo Sana na naukubali hadi leoHuo wimbo aliutunga baada ya kuchapiwa.
Ni wimbo bora wa muda wote.Ok bonge la wimbo,nimeusikia niko mdogo Sana na naukubali hadi leo
Nyie watu ni wajinga mno, sijui hata mnaishi vipi huko kwa ujinga huu mlionao. Poor hygiene will always cause all kinds of unpleasant smells from your cave[emoji867]Hivi kwanini inasemekana Countrywide ndiye Nikki?
Ahhh.. Kiukweli huyo demu ni wa kawaida sana tena sanaaaKama sio rijali ndo unaweza kumuona Joan wa kawaida.
Kumbe ni wakuchapia sikujua,manake lugha iliyotumika sijui ni kilingala ,ngoja niichek YouTube tafsiri yake.Ni wimbo bora wa muda wote.