Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.

Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi[emoji848]

Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .
Hapo unatamani wewe ndio ukachukue hiyo nafasi ya huyo demu?
 
Itakuwa imerushwa na watu wa kataa ndoa. Hawa jamaa wana kampeni Kali. Msiwachukulie kispoti spoti nasikia pia wana mikwanja ya kampeni. Waundiwe jeshi maalum la kuwakabiri b4 its too late
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Sio kampeni mkuu ndio uhalisia wenyewe sahivi wanawake wenyewe wanawadharau wanaume wanao oa maana wanajua Hali halisi.. Kugongewa nnje hakuhepukiki kwenye hii era

Na kingine ni kipi mwanaume unacho Pata kwa mwanamke ukioa.. Ambacho huwezi kukipata huku nnje??
 
Ukioa Malaya ni hakika atagongwa

Tatizo tulilo nalo 75% ni malaya nowadays

Hapa ndo tunarudi kwenye point vijana msioe kwa ndoa wekeni wanawake kinyumba bila ndoa ili mda wowote ule unaacha unapita zako kushoto...miliki ghetto kali huwezi kukosa mwanamke wa kung'ang'ania humo hapo ndo unazalisha mnaishia kihunihuni likibumbuluka unapita kushoto easy in easy out...muwe smart vijana

Sheria ya miezi 6 haina prove ya uhakika mahakamani ipuuzieni...

Msiwe wepesi kuoa makanisani labda km muislam...
Wengine hamjashikwa kwa ushahidi mnajiona watakatifu,vificho vinawaokoa sana,na tamaa za mwili zimewazidi mmekua mateja [emoji1787][emoji1787][emoji1787] msihukumu kabla hujahukumiwa
 
Back
Top Bottom