Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Si busara wala ubinadamu kufurahia machungu ya mwanadamu mwenzako kwa namna yoyote Ile....

Mabaya yanawakuta watu na kuwa sisi ni watu kama walivyo wao basi na sisi pia tunaweza kukutwa na hayo mabaya.......

Si vyema kufurahia mateso ya mtu kwani hata sisi yanaweza kutukuta......

Tujifunze kufarijiana na kuoneana huruma........

Usaliti usione mbaya kwa kufanyiwa bali hata kwa kuufanya kwa mwenzio.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…