Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Si busara wala ubinadamu kufurahia machungu ya mwanadamu mwenzako kwa namna yoyote Ile....

Mabaya yanawakuta watu na kuwa sisi ni watu kama walivyo wao basi na sisi pia tunaweza kukutwa na hayo mabaya.......

Si vyema kufurahia mateso ya mtu kwani hata sisi yanaweza kutukuta......

Tujifunze kufarijiana na kuoneana huruma........

Usaliti usione mbaya kwa kufanyiwa bali hata kwa kuufanya kwa mwenzio.....
 
Aaaaah raundi hii raundi hii raundi hii

Tutakanyagana [emoji81][emoji81][emoji81]
FB_IMG_16769502366172887.jpg
 
Back
Top Bottom