Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahahah kuchapiwa kunaleta displini kinamna flani. Huwezi kumpost mke kama matangazo ya bidhaa.
 
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.

Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.

Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
 
You nailed it
 
Mungu hakupi vyoteee.

Utachagua uzuri na mvuto, au tabia nzuri na muenendo mwema.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787] We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli bhana hakuna anayejua.

Wengine wanasema kaoa, ila baadae yeye kakataa zile picha ni Editing mweeeeh.
 
Watanzania wengi ni wachawi ni vile tuu mizimu haijawaingia kuanza shika tunguli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…