Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

brother hakujifunza kwa mkandamizaji, ukioa wacha kumpamba mkeo na kumsanika, kuna wahuni uwa wanakuja kwa kutesti kina cha maji. alaf mzigo imoo.

usimwanike mkeo,

MPOKI adi leo watu hawamjui mke wake wala mtoto wake yeyote, ata akichapiwa no one knows
 
really, kunakuwaga na kawivu fulani baina yetu... me mwenyewe fans wangu wengi ni ladies though hufanya content nzuri za kuvutia jinsia zote hadi mimi mwenyewe but still boys huwa hawaoneshi reactions zozote ila ladies huonesha.
Afadhali wewe umeona hili. Wengine watabisha. Na wanaoshabikia kwa kejeli hapa wengi ni wanaume na ndo hao hao wamemla mke wa Nikki
 
Halafu anajikuta ana busara Sana,watu wenye busara Sana huwa wanabore haraka Sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…