Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ndio aache kudharau wenzake kwa kujiona yeye ni Bora kuliko.Sio poa kufurahia matatizo ya watu hata kama muheshimiwa ni mtu wa nyodo na mataizi...
Heshimu uheshimiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aache kudharau wenzake kwa kujiona yeye ni Bora kuliko.Sio poa kufurahia matatizo ya watu hata kama muheshimiwa ni mtu wa nyodo na mataizi...
Millard hata akichapiwa tutajua saa ngapi sababu mkewe hajamfanya bango la biashara.[emoji1787] We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.
Ni tahira pekee atakae shindwa kuelewa kuwa hiyo ni typo iliyosababishwa na herufi S&D kufuatana.Madomo ndo nini una wahi wapi?
Utaitwa nikki sasaivi[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio Watanzania. Likikutokea jambo baya wanafurahia, ikiwa ni jambo la mafanikio wananuna.
GT please 🙏🏿 ukipata linki usinisahau please. Halafu siku hizi ban zinakuandama.Nirushie link mwanangu.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wachawi wengi wananitafiaga ban.GT please 🙏🏿 ukipata linki usinisahau please. Halafu siku hizi ban zinakuandama.
Msinisahau kwenye hiyo connection wadau, nione miuno feni ipoNirushie link mwanangu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ukweli sijaiona mkuu nilikua nachekecha tu akili yako, mtaalamu wa za kimasiharaEmbu subiri kwanza, anayakata mauno?
Siku hizi hawa madem wa kisukuma. Angalia mke wa masanja. Angalia yule kule Bagamoyo aliyezuia mmewe asizikwe kwake azikwe moshi ili auze nyumba.Toto la kisukuma hilo, shida ya dada zangu nao wanapenda mchezo wa kukazana sana yani 🤣🤣🤣
Yani siyo iyo tu hata Elon Musk utajiri wake kushuka akawa namba mbili watu tulifarahi sana na kusheherekea. Yani huu msosi tunaokula mara moja baada ya siku tatu tusipopata maumbea ya maumivu ya watu.Habari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha 🤣
Afadhali wewe umeona hili. Wengine watabisha. Na wanaoshabikia kwa kejeli hapa wengi ni wanaume na ndo hao hao wamemla mke wa Nikkireally, kunakuwaga na kawivu fulani baina yetu... me mwenyewe fans wangu wengi ni ladies though hufanya content nzuri za kuvutia jinsia zote hadi mimi mwenyewe but still boys huwa hawaoneshi reactions zozote ila ladies huonesha.
Halafu anajikuta ana busara Sana,watu wenye busara Sana huwa wanabore haraka Sana!Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.
Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.
Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
Eeh demu mwenye aibu sana, au serious mda wote hanipi nafasi ya kumtania tania kumchekesha Man i can't hold it for long.Halafu anajikuta ana busara Sana,watu wenye busara Sana huwa wanabore haraka Sana!
Nakuelewa aisee😂😂Eeh demu mwenye aibu sana, au serious mda wote hanipi nafasi ya kumtania tania kumchekesha Man i can't hold it for long.
Napenda mtt wa kike mwenye confidence, asmile basi namuongeza utamu namchekesha all the time akiwa close. I fux her good by the end.Nakuelewa aisee😂😂