Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake


Zama Hana bahati ya mapenzi ila ana mapenzi ya kweli mnooo. Shabani nadhani ana mtoto Kwa demu mwingine kama ntakua siku Ile nliskia vzr Kwa wale wambea, so whatever anafanya ni Ile 'acha nijishebedue mke mwenzangu anijue', na yule Mpana sana whatever they are showing us in public is not reality huko kwenye Kuta nne kunafuka Moshi.

Hata Ruge Zama alimpenda mnoo bahati mbaya tu jasiri naye alikua kit...mb....mnooo.

Ila Kwa kutulia ametulia mnoo yule dada na akipenda anapenda mnoo na mvumilivu na sidhani km ataondoka Kwa Sheby

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nitumie link
 
Jifunze kuhakiki unachoandika, hii heading ina maana gani
 
Nafikiri tufike hatua tuanzishe mtindo mpya wa kujenga familia pasipo watu kuwekana ndani, si wanaume si wanawake wote wanaiangaika kutafuta furaha nje ya ndoa.

Sasa sijui kwa nini tunazitakq hizo ndoa
Mheshimiwa tafuta aliyekuwa low key mbona wapo ila ule sawa nae Kielimu ya fedha au kakuzidi sio wako ..

Hutaweza kumcontrol Maisha .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyieee watu mko serious hivi. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tayari mtu kashapigiwa kipochi chake huko watu washatembeza rungu ngoja tusubiri, wanawake pasua kichwa...
 
Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.

Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi🤔

Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .
 
Aisee
 
Mh wa Msoga ndio yupi huyo? Mi namjua JK we unamzungumzia nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…