Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kuanza kuishi bila ndoa hiyo ni moja ya sababu watu kuachana. Nikki haendani kabisa na ile Tandam.... cha muhimu kashaitafuna kwa miaka kadhaa awaachie wengine sasa.. muda wake ushapita.

Demu mkali halafu kipanga wa hatari kwenye uhasibu... kwa vyovyote vile ilikuwa lazima Nikki aachwe.
Ile pisi ni msukuma?
Demu faking kweli.
 
Mh DC wa pili atakua kajifunza sasa

Hata AY alisha achana na remi yule mke wake ...sahv anatoka na li black America

Mc pilipili akae mkao wa kula asipobadilika itakula kwake
Pili pili
Screenshot_20230219-113742.jpg


Akae mkao
 
Looh!
Wanawake wanataka nn?? Nikki ana hela, na Nikki anafanya mazoezi hivyo kwa vyovyote ana nguvu za kiume.
 
Back
Top Bottom