Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Wee endelea kupambania tuu hahhaa
Tatizo tunaowapambania ndo hawa wanatusaliti mimi sijaoa lakini nikijua demu wangu anagongwa na njemba nyingine naumia.

Huwa nawaza sana wanetu wanaochapiwa wake zao wa ndoa wanaumia jinsi gani

Nikki alikuwa anaturingishia mke wake insta saivi kafuta picha zake zote. Chezea maumivu ya kuchapiwa wewe 🀣🀣🀣
 
Wabongo wanaringa sana wakiwa na vichupa vya koneksheni.

Acha hii ya mke wa Nikki mimi mpaka leo sijapata ya Uwoya nasikia tu K yake mbaya mara ana vuzi la kipilipili

Tugawane dhambi hizo wadau
Hii haupo mkuu ni watu wameamua kuanzisha rumous, lakini haipo na hakuna hata mmoja humu katumiwa au kuipata,


Na pia tupo katika group za rada kali (shit update groups) hili zaga halijatua huko, kukitokea updates kule dk 3 huwa nyingi mzigo unakuwa updated maapema

so relax
 
Hapa kidogo umenituliza.

Vipi kile kichupa cha Uwoya?
 
 
Mkuu wewe unaelewa Nini kuhusu ushoga naona hamjitambui
Shoga ni mtu yoyote ambaye anaita watu mashoga alafu hajawapima Wala Hana hata uhaika
 
Kweli yaan wabongo inaonekana tunapenda sana umbea
Hakuna kinachotokea huu sio umbea mzee grow up hii ni mada mezani watu wanatoa michango yako,
Alihisi ametia mimba akapata mtoto akachumbia kumbe akasahau anamchumbia mke wa watu,

Wanawake MUNGU anawaona nyinyi kizazi cha akina LILITH (Eva wa Kwanza)

KATAA NDOA
UKIFUNGA NDOA UTACHAPIWA TU
UTAKE USITAKE
MKEO ATACHAPWA TU
 
Nasikia kaachia PIN mpya na Wala Wala napita street nakuta bodaboda wanaisikiliza kwa makini sana,
 
Ulimuonja zama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…