Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kijana mimi siongei vitu vya kubahatisha. Hawa watu kuwaelewa si lazima niwe miongoni mwao au nisiwe miongoni mwao ni swala la kujielimisha na kupata taarifa sahihi.

Wewe hauna taarifa sahihi kuwahusu hawa watu. Ngoia nikuelekeze na usibishane na mimi bali ingia mtandaoni na wewe upate kujifunza.

Ukisikia mwanaume au mwanamke ni Straight au kwa majina mengine Heterosexual hiyo humaanisha huyu muhusika yupo normal kwenye sexual orientation yaani ni mtu ambaye anavutia na jinsia tofauti na ya kwake. Kama ni mwanaume anavutiwa na mwanamke tu na kama ni mwanamke anavutiwa na mwanaume tu si vinginevyo. Mfano baba yako ni straight ndio maana akafunga ndoa na kuishi na mama yako.

Gay hutumika kumaanisha mwanaume ambaye anavutiwa na wanaume wenzake yaani ambaye anakuwa anaingiliwa ila haingilii ila ukiomuona haonyeshi sana dalili ingawa kwa wanaowafahamu wanaume wa hivi unajua tu namna anaongea na wanaume wenzake na tabia zake za kujipeleka kwa wanaume. Zamani walikuwa wanatumia for both wanawake kwa wanaume ila sasa wamebadili wanawake wanatumia Lesbian wanaume gay.

Bisexual ni mwanaume au mwanamke ambaye anafanya na jinsia yake lakini pia na jinsia tofauti. Mfano Mwanaume kaoa mke wake na anafamilia ila nje anatafuna wanaume wenzake huyo ni bisexual.

Kuna Transexual huyu ni mwanaume au mwanamke ambaye ameamua kujibadili maumbile kwa kuwekeza viungo kama matiti, hips, kurekebisha muonekano wa sura uwe wa kike na transplant na facial adjustments nyinginezo. Au kama ni mwanamke ni kutoa matiti, kutumia hormones pills za kuotesha ndevu na manyoa mwilini ili awe kama mwanaume. Aina hii ya upasuaji huitwa Gender Reassignment surgery.

Halafu kuna Queer hawa ni kundi la wale watu wasiojielewa wanasimama wapi yaani hajisikii kuwa mwanaume, hajisikii kuwa mwanamke kwa kifupi hajitambui ndio hawa husikia wanalazimisha kuitwa kwa pronouns kama "They, them, It" ukimwita mfano yeye ni mwanamke ukamwambia her au she mnagombana na anaweza hata kukushitaki kwa ubaguzi. Ni vichaa.

So ndugu usichukulie poa kila unaemkuta mtandaoni. Mimi hawa watu ninawafuatilia na ninafahamu hata chanzo cha wao kuwa hivyo. Ni vema ukajifunza kwa wengine badala ya kuhisi unajua zaidi yao haikusaidii chochote.
Mimi mwenyewe nikielewa hivyo kabila ya Sakata la jhpiego ile kipindi Cha jakaya,Kuna mwanangu alikua akifanya huko ndiye aliyenisanua namna wao wanavyoweka hayo makundi, yeye akiwa kundi la straight..kitu kilichofanya wampende wengi na kumfatafata,ukiwa Basha wao wanakuhesabu gay Ila ni straight
 
Nimewahi kupitia anayopitia Nikson sasa hivi !

Ni kipindi kigumu mno.

Mtu unaweza kufurahi anachopitia Ila Cheka Sana, furahi Sana, imba Sana Ila usiombe ukapitishwa kwenye huu mtihani WA mtoto wako WA Kwanza kuambiwa sio WA kwako. Na mahusiano yako on spot yanakuwa yanaharibika Kwa kipindi hicho hicho. Acha kabisa unaweza kuwa chizi


Namuombea Nikson Hold On naamini utakuwa umefanya maamuzi ya busara na ninakuombea mungu akupe nguvu na busara. Ukiweza kuvuka hiki kipindi unaenda kuwa Nickson Bora zaidi ya ulivyokuwa.
Daaa pole sana mkuu,
Unaweza kutuambia kidogo ilikuwqje kwa upande wako.
 
Screenshot_20230223-141516_Instagram.jpg
nakazia
 
Haya mambo siyaelewi, nyumba kubwa na gate kali, bwana na mke wanafanya kazi kubwa zinazoingiza kipato cha uhakika. Ajabu ni kwamba shamba boy anamgonga mke wa bosi. Hii imekaaje? Mwanamke anakosa mtu tena mwenye pesa kama yeye achepuke nae? Huenda ni swala tu la "upelekaji wa moto".
 
Mjomba haya mambo sio poa omba mungu usiyapitie. Narudia tena kuna mitihani omba Sana mungu asikupitishe.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mie mke sijampa priority ki ivyo ya kuniumiza. Nilipooa nilijua naa consequences or negative side ya ndoa. So huwa na rehearsal always Naona wife analizwa na lijamaa linapumua na push up zake so nakuona navyo handle my brain. Ni sawa na soldiers wanavyo handle kifo vitani kwani huwa hawajui kuwa watakufa ama kuuliwa. Ishu Ni kuandaa mind positively ili negative itakapokuja ibalansi mzani.
 
Wabongo wanaringa sana wakiwa na vichupa vya koneksheni.

Acha hii ya mke wa Nikki mimi mpaka leo sijapata ya Uwoya nasikia tu K yake mbaya mara ana vuzi la kipilipili

Tugawane dhambi hizo wadau
Kaahhh...mpk ya uwoya hunaaa...pole ngoja kama Bado nnayo ntakutumia asehhh!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii haupo mkuu ni watu wameamua kuanzisha rumous, lakini haipo na hakuna hata mmoja humu katumiwa au kuipata,


Na pia tupo katika group za rada kali (shit update groups) hili zaga halijatua huko, kukitokea updates kule dk 3 huwa nyingi mzigo unakuwa updated maapema

so relax
Kweli kabisa ya nick ingekuwepo ningekua nshainyaka Niko Kwa group hakuan connection naikosa zoooote yaani hata za waheshimiwa sana tunazo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom