Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mkewa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu.

Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.

# wakuu shukrani sana naona thread yangu ya uongo uongo inaenda viral kweli kweli,hatimaye utafiti wangu umekamilika wabongo tunapenda umbeya,chuki binafsi ,wivu na kila aina ya chuki Ahsanteni kwa support wakuu#
# wakuu shukrani sana naona thread yangu ya uongo uongo inaenda viral kweli kweli,hatimaye utafiti wangu umekamilika wabongo tunapenda umbeya,chuki binafsi ,wivu na kila aina ya chuki Ahsanteni kwa support wakuu#[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
# wakuu shukrani sana naona thread yangu ya uongo uongo inaenda viral kweli kweli,hatimaye utafiti wangu umekamilika wabongo tunapenda umbeya,chuki binafsi ,wivu na kila aina ya chuki Ahsanteni kwa support wakuu#[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tinajua umepewa onyo.au mwanasheria wako yuko nje ya nchi 🤣🤣🤣
 
Kumbe kuna connection mjini hata hujanambia , [emoji16][emoji16]
Akuambie nan? Huna marafiki? Mie mzuri kukiwa na connection, bila hvyo ni mbayas? Utapata unakochezagaaa.

Just jokes, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kijana mimi siongei vitu vya kubahatisha. Hawa watu kuwaelewa si lazima niwe miongoni mwao au nisiwe miongoni mwao ni swala la kujielimisha na kupata taarifa sahihi.

Wewe hauna taarifa sahihi kuwahusu hawa watu. Ngoia nikuelekeze na usibishane na mimi bali ingia mtandaoni na wewe upate kujifunza.

Ukisikia mwanaume au mwanamke ni Straight au kwa majina mengine Heterosexual hiyo humaanisha huyu muhusika yupo normal kwenye sexual orientation yaani ni mtu ambaye anavutia na jinsia tofauti na ya kwake. Kama ni mwanaume anavutiwa na mwanamke tu na kama ni mwanamke anavutiwa na mwanaume tu si vinginevyo. Mfano baba yako ni straight ndio maana akafunga ndoa na kuishi na mama yako.

Gay hutumika kumaanisha mwanaume ambaye anavutiwa na wanaume wenzake yaani ambaye anakuwa anaingiliwa ila haingilii ila ukiomuona haonyeshi sana dalili ingawa kwa wanaowafahamu wanaume wa hivi unajua tu namna anaongea na wanaume wenzake na tabia zake za kujipeleka kwa wanaume. Zamani walikuwa wanatumia for both wanawake kwa wanaume ila sasa wamebadili wanawake wanatumia Lesbian wanaume gay.

Bisexual ni mwanaume au mwanamke ambaye anafanya na jinsia yake lakini pia na jinsia tofauti. Mfano Mwanaume kaoa mke wake na anafamilia ila nje anatafuna wanaume wenzake huyo ni bisexual.

Kuna Transexual huyu ni mwanaume au mwanamke ambaye ameamua kujibadili maumbile kwa kuwekeza viungo kama matiti, hips, kurekebisha muonekano wa sura uwe wa kike na transplant na facial adjustments nyinginezo. Au kama ni mwanamke ni kutoa matiti, kutumia hormones pills za kuotesha ndevu na manyoa mwilini ili awe kama mwanaume. Aina hii ya upasuaji huitwa Gender Reassignment surgery.

Halafu kuna Queer hawa ni kundi la wale watu wasiojielewa wanasimama wapi yaani hajisikii kuwa mwanaume, hajisikii kuwa mwanamke kwa kifupi hajitambui ndio hawa husikia wanalazimisha kuitwa kwa pronouns kama "They, them, It" ukimwita mfano yeye ni mwanamke ukamwambia her au she mnagombana na anaweza hata kukushitaki kwa ubaguzi. Ni vichaa.

So ndugu usichukulie poa kila unaemkuta mtandaoni. Mimi hawa watu ninawafuatilia na ninafahamu hata chanzo cha wao kuwa hivyo. Ni vema ukajifunza kwa wengine badala ya kuhisi unajua zaidi yao haikusaidii chochote.
Na imekuja role mpya inaitwa "sides" huyu yeye hata hajisikii kuwa hivyo vyote, na sio straight.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo mbna.
 
Mimi mwenyewe nikielewa hivyo kabila ya Sakata la jhpiego ile kipindi Cha jakaya,Kuna mwanangu alikua akifanya huko ndiye aliyenisanua namna wao wanavyoweka hayo makundi, yeye akiwa kundi la straight..kitu kilichofanya wampende wengi na kumfatafata,ukiwa Basha wao wanakuhesabu gay Ila ni straight
Mmmmh labda Gay asiyekua na uelewa, ila sometimes ku pretends tyuuh. By the way Bisexuals wamejaaa mnooooo.
Lol
 
Mheshimiwa tafuta aliyekuwa low key mbona wapo ila ule sawa nae Kielimu ya fedha au kakuzidi sio wako ..

Hutaweza kumcontrol Maisha .
Ni kweli...unajua wanaume tunapenda kujitesa bure...kaa na mwanamke unaweza kumuongoza....unakaa na mwanamke mbishi au kakuzidi elimu au kakuzidi kipato au anapenda mahitaji makubwa ambayo yapp nje ya uwezo wako..utajiua na stress.....

Oa mwanamke ambaye unaweza kumuongoza ( kumuongoza siyo kumnyanyasa, tusichanganye mambo hapa). Then, tengeneza nae familia safi kabisa..furahia maisha basiiii...no stress.

Sio unakaa na mwanamke muda wote unamashaka...utajitesa bure tu...
 
Back
Top Bottom