Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Hii haupo mkuu ni watu wameamua kuanzisha rumous, lakini haipo na hakuna hata mmoja humu katumiwa au kuipata,


Na pia tupo katika group za rada kali (shit update groups) hili zaga halijatua huko, kukitokea updates kule dk 3 huwa nyingi mzigo unakuwa updated maapema

so relax
Eti Irene Uwoya vuzi lake la kipilipili. Nimecheka ya wabongo
 
Katika tu hali ya kawaida, Mwanamke umeolewa na una Mtoto, halafu unaweka picha hii hapa kwny WhatsApp DP, halafu ukiambiwa usiiweke unakasirika

Kama haitoshi unachat na wanaume tofauti then wanakuomba picha zako unawatumia zile hot pics...kama ni Marijali watakuacha?

Si inamaana unawatumia ili wakutongoze? Unakosa nini kwa Mumeo?
View attachment 2530168
images~2.jpg
 
# wakuu shukrani sana naona thread yangu ya uongo uongo inaenda viral kweli kweli,hatimaye utafiti wangu umekamilika wabongo tunapenda umbeya,chuki binafsi ,wivu na kila aina ya chuki Ahsanteni kwa support wakuu#[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndio updated ya hio inshu?
 
Back
Top Bottom