Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Ni mchaga ...mkinga n fred vunjabeiWhozu sio wa kaskazini,si naonaga mkisema ni mkinga
Frank knows kaka ake na whozu ni mchaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchaga ...mkinga n fred vunjabeiWhozu sio wa kaskazini,si naonaga mkisema ni mkinga
Tuliaaa kwan.Duh,ipi tena hiyo
Ova
Huyu ni Nani?Katika tu hali ya kawaida, Mwanamke umeolewa na una Mtoto, halafu unaweka picha hii hapa kwny WhatsApp DP, halafu ukiambiwa usiiweke unakasirika
Kama haitoshi unachat na wanaume tofauti then wanakuomba picha zako unawatumia zile hot pics...kama ni Marijali watakuacha?
Si inamaana unawatumia ili wakutongoze? Unakosa nini kwa Mumeo?
View attachment 2530168View attachment 2530169
Looh!
Wanawake wanataka nn?? Nikki ana hela, na Nikki anafanya mazoezi hivyo kwa vyovyote ana nguvu za kiume.
Lol! Uko vizuri mamiiiAna kiba ndo tatizo lake minilipita naye kitambo kabla hajaoa
Mke wa Niki wa pili. Yule dogo DC wa Kisarawe.Huyu ni Nani?
Yan roho inauma hatakama sijamuoaUnakasirika hadi mzazi mwenzako akigongws??
Ivi kumbe ni kweli mkuu?Babu seya alikua akifanya ngono na watoto na kuziuza ufaransa,wa msoga akiwa wizara ya mambo nje akalipata Hilo,ndiyo kumshupalia
NdiyoIvi kumbe ni kweli mkuu?
Acha uongo wako wewe. Alikuwa kashakuwa maarufu au bado? Na alikuambiaje baada ya kuona kiba chake?Ana kiba ndo tatizo lake minilipita naye kitambo kabla hajaoa
Kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???????????Ana kiba ndo tatizo lake minilipita naye kitambo kabla hajaoa
Hii taarifa siiamini sanahivi watu wanaamini vipimo vya kibongo hadi kuachana na wake zao, hizi hospitali ukienda hii unaambiwa una malalia, nyingine utaambiwa typhoid, nyingine utaambiwa syphilis, siku hio hio moja !! Hio DNA alipima kwenye hospitali ngapi?
Acha uongo wako wewe. Alikuwa kashakuwa maarufu au bado? Na alikuambiaje baada ya kuona kiba chake?
Umenitamanisha bure ujue. Angekuwa mumeo vipi ungemtangaza?[emoji38][emoji38][emoji38]Nikudanganye wewe ili iweje?
Umenitamanisha bure ujue. Angekuwa mumeo vipi ungemtangaza?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwasababu Watz tunaroho mbaya,tunapenda sana kusikia mtu anaharibikiwa na kuwa na mateso,asili ya mtanzania hapendi mtu afanikiwe,ndiyo maana ni wachache sana anaweza kukupa connectionHivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!