Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Katika tu hali ya kawaida, Mwanamke umeolewa na una Mtoto, halafu unaweka picha hii hapa kwny WhatsApp DP, halafu ukiambiwa usiiweke unakasirika

Kama haitoshi unachat na wanaume tofauti then wanakuomba picha zako unawatumia zile hot pics...kama ni Marijali watakuacha?

Si inamaana unawatumia ili wakutongoze? Unakosa nini kwa Mumeo?
View attachment 2530168View attachment 2530169
Huyu ni Nani?
 
Hivi watu wanaamini vipimo vya kibongo hadi kuachana na wake zao, hizi hospitali ukienda hii unaambiwa una maralia, nyingine utaambiwa typhoid, nyingine utaambiwa syphilis, siku hio hio moja!! Hio DNA alipima kwenye hospitali ngapi?
 
hivi watu wanaamini vipimo vya kibongo hadi kuachana na wake zao, hizi hospitali ukienda hii unaambiwa una malalia, nyingine utaambiwa typhoid, nyingine utaambiwa syphilis, siku hio hio moja !! Hio DNA alipima kwenye hospitali ngapi?
Hii taarifa siiamini sana
 
Back
Top Bottom