Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapiiii DC,
sweet Mangi. Lol
 
M
Nafikiri tufike hatua tuanzishe mtindo mpya wa kujenga familia pasipo watu kuwekana ndani, si wanaume si wanawake wote wanaiangaika kutafuta furaha nje ya ndoa.

Sasa sijui kwa nini tunazitakq hizo ndoa
Mkuu umeandika kitu cha msingi sana
 


Wa kawaida tu na tumiguu twake tule.
Halafu kumbuka ni Mmeru yule.
 
Mheshimiwa wa Pili
 


Kweli kabisa .
 
Kala maganda ya ndizi kayatupa majalalani sio mtu mzuri.
Hii nchi vijana ni wa hovyo,
Hii nchi Wazee ni wa hovyo,
Hii nchi watoto ni wa hovyo,

Aina Hii ya wananchi Wana mchango mdogo sana katika Taifa,
Na ndio maana Hii nchi haiendelei raia ni wake ni wa hovyo hovyo!

(In Mwendazake Voices)
😁😁😁
 

Mbaya ni kuendelea kuwepo kwa wazee wa ovyo na wanawagongea vijana wa ovyo.
 
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…