Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapiiii DC,
sweet Mangi. Lol
 
M
Nafikiri tufike hatua tuanzishe mtindo mpya wa kujenga familia pasipo watu kuwekana ndani, si wanaume si wanawake wote wanaiangaika kutafuta furaha nje ya ndoa.

Sasa sijui kwa nini tunazitakq hizo ndoa
Mkuu umeandika kitu cha msingi sana
 
Hapana mkuu. Ni jambo lililokuwa wazi sema ndo tulikuwa hatujui siku wala saa atakapokuja yule mgongaji wa ile Tandam... Joan ni kitu kikali mno.

Ana weupe wa asili sio mkorogo... demu kama yule huwa wanapenda watu wahuni wahuni tofauti na Nikki ambaye ana asili ya upole na utulivu.


Wa kawaida tu na tumiguu twake tule.
Halafu kumbuka ni Mmeru yule.
 
Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mke wa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu.

Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.
Mheshimiwa wa Pili
 
Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.

Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi🤔

Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .


Kweli kabisa .
 
Kala maganda ya ndizi kayatupa majalalani sio mtu mzuri.
Hii nchi vijana ni wa hovyo,
Hii nchi Wazee ni wa hovyo,
Hii nchi watoto ni wa hovyo,

Aina Hii ya wananchi Wana mchango mdogo sana katika Taifa,
Na ndio maana Hii nchi haiendelei raia ni wake ni wa hovyo hovyo!

(In Mwendazake Voices)
😁😁😁
 
Hii nchi vijana ni wa hovyo,
Hii nchi Wazee ni wa hovyo,
Hii nchi watoto ni wa hovyo,

Aina Hii ya wananchi Wana mchango mdogo sana katika Taifa,
Na ndio maana Hii nchi haiendelei raia ni wake ni wa hovyo hovyo!

(In Mwendazake Voices)
😁😁😁

Mbaya ni kuendelea kuwepo kwa wazee wa ovyo na wanawagongea vijana wa ovyo.
 
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
 
Back
Top Bottom