Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Hivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Hili ni tatizo la kukulia kwenye umasikini, ukiwa hata na hela baadae unakuwa na ki element cha roho mbaya ya kupenda kuona watu wakiteseka na kupata shida ,nimeona kwa watu wengi sana especially waliokulia vijijini , hawana upendo kabisa , wamejawa na chuki na visasi kama wachawi tu
 
Mheshimiwa DC kachapiwa kumbe Cc ephen_
 
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
AY wameachana na yule Mtutsi?
😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…